Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante mkuuNakupa 100% ya kile umepost
yeaah alafu nyongeza hapo inabidi ajue self defenseUsiwe wa Daslam
kweli mkuu pesa ndo kila kituKubwa kuliko muungwana wa sasa lazima uwe na 'PESA'
asante sana mkuuHongera kwa andiko zuri mkuu
asante mkuuGOD BLESS YOU, Kuna Jambo Nimenufaika Hapa Mkuu
handsome linasifia uzuri wa sura nk...gentleman ni utanashati na tabia na uungwana au uhandsome mtu anazaliwa nao au anajitengeneza ila ugentleman ni mfumo wa maisha mtu anajifunzaNini tafsiri ya neno Handsome na Gentleman. Pia tofauti zao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni hatari ukiona hvo kuna watu wakishaona jinsia ke tu wanachanganyikiwa wanaruka mpaka samasotiIla kuna wanaume wanasifa jamaniii hadi unajihisi hapa duniani hujui kitu,..halafu anajiona "jentomani" nayeye
Aahh,wengine wanapenda majisifu tuu..[emoji53][emoji23] [emoji23] [emoji23] ni hatar ukiona hvo kuna watu wakishaona jinsia ke tu wanachanganyikiwa wanaruka mpaka samasoti
hahahahahHiyo ya 7 iko contradictory na haiwahusu wapenda dini kwani mtu yeyote mpenda dini LAZIMA anakuwa mnafiki siku zote.