Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ili ufanikiwe katika maisha lazima uwe muuzaji(sales person) mzuri
Hizi ni mbinu unazoweza kutumia katika kuuza bidhaa, huduma au siasa.
1. Taja namba/sifa kubwa kubwa zinazovutia watu kusikiliza lakini ambazo itakuwa vigumu wao kuzifuatilia.
2. Rudia mara kwa mara ubora wa bidhaa,huduma, sera. Binadamu anapolisikia jambo mara nyingi zaidi ni rahisi kuliamini hata kama ni la uongo, duni au haliwezekani.
3. Zungumza kile watu wanachopenda kusikia hata kama hakitekelezeki au hakina uhalisia na bidhaa yako.
4. Jifanye unajua vitu ambayo huvijui ila unadhani watu wanaamini unavijua.
5. Onyesha kwamba umetokea mazingira ya shida sana na umepambana sana kufika hapo ulipo, kuteka hisia ni jambo muhimu katika biashara na siasa sio mapenzi tu.
6. Jaribu kufanya utani, usiwe serious sana.
Zingatia: Uzuri au ubovu wa stori yako ni jambo la pili, jambo la kwanza watu wengi kukuamini ni jinsi unavyoisema stori.
Hizi ni mbinu unazoweza kutumia katika kuuza bidhaa, huduma au siasa.
1. Taja namba/sifa kubwa kubwa zinazovutia watu kusikiliza lakini ambazo itakuwa vigumu wao kuzifuatilia.
2. Rudia mara kwa mara ubora wa bidhaa,huduma, sera. Binadamu anapolisikia jambo mara nyingi zaidi ni rahisi kuliamini hata kama ni la uongo, duni au haliwezekani.
3. Zungumza kile watu wanachopenda kusikia hata kama hakitekelezeki au hakina uhalisia na bidhaa yako.
4. Jifanye unajua vitu ambayo huvijui ila unadhani watu wanaamini unavijua.
5. Onyesha kwamba umetokea mazingira ya shida sana na umepambana sana kufika hapo ulipo, kuteka hisia ni jambo muhimu katika biashara na siasa sio mapenzi tu.
6. Jaribu kufanya utani, usiwe serious sana.
Zingatia: Uzuri au ubovu wa stori yako ni jambo la pili, jambo la kwanza watu wengi kukuamini ni jinsi unavyoisema stori.