Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Mkuu Sina Cha kukupa zaidi ya shukrani!Google map
Mkuu Mungu akupe mwisho mwema Jambo zuri snaa hiliUtaujua tuu mkuu. Tumia Map. Siku ambazo uendeshi bajaji jaribu kuzunguka zunguka na daladala
[emoji120][emoji120][emoji91][emoji91]Duh jamaa inaonekana uko Humble, Mungu akutangulie kwenye harakati zako
Ni ugeni tu,subiri awe mwenyeji utamkataa.Duh jamaa inaonekana uko Humble, Mungu akutangulie kwenye harakati zako
Nashukuru SanaGoogle maps tumia kwenye simu, hata ukiwa mgeni hupotei.
Teknolojia inarahusisha sana maisha.....
Sawa Ntafanya hivyoKuwa na mtu mzoefu kwanza kwenye hiyo bajaji akuoneshe Chocho zote
baadae ataachakupokea simu za ndugu zake aliowaacha Dumila.Ni ugeni tu,subiri awe mwenyeji utamkataa.
ππ
Natania tu.
[emoji1787][emoji1787] sawa MkuuNi ugeni tu,subiri awe mwenyeji utamkataa.
[emoji2][emoji2]
Natania tu.
Tafuta App inaitwa HERE WEGo ipo Google store.Mkuu ebu nitajie hizo map ambazo zipo offline bila ata bando zinapiga kazi
[emoji120][emoji120][emoji120]Fuata ushuri wa kutumia Google map,pia kuna Application za Map ambazo hazihitaji kua na internet,zinafanya kazi offline,hizi zitakusaidia zaidi,
Pia kua makini sana na abiria wako,usimuamini mtu kupita kiasi,jaribu kuongea na madereva wazoefu wa hizo kazi ili ujue mawili matatu yaliyomo humo.