Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Habari JF
Mimi ni mgeni hapa Dar es salaam. Sasa nimepata Bajaj kwa ajili ya Uber na bolt Ila mji siujui Sana.
Eneo ni Kariakoo Posta nk
Je, nitumie njia gani ili niujue mji kwa haraka
Ahsante naomba Msaada
Mimi ni mgeni hapa Dar es salaam. Sasa nimepata Bajaj kwa ajili ya Uber na bolt Ila mji siujui Sana.
Eneo ni Kariakoo Posta nk
Je, nitumie njia gani ili niujue mji kwa haraka
Ahsante naomba Msaada