MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Hapanakuna Routs tata za kusafirisha mazagazaga ukipiga tiripu tatu ghorofa Ilala au Magomeni linakuhusu je'uko tayari?
Kuna mtu mmoja alisema kuwa rich it is more spiritual, thats why si kila mtu anaweza kuwa tajiri Ila ni wengi tunatamani kuwa matajiriSometimes it's luck..sometimes it's a combination..It's never just hard work.
Triple GKuna mtu mmoja alisema kuwa rich it is more spiritual, thats why si kila mtu anaweza kuwa tajiri Ila ni wengi tunatamani kuwa matajiri
ili uwe tajiri ni lazima uwe na sehemu ya tamaa kwenye mafanikio,uwe jasiri,uwe na uthubutu.vipi wewe!Hapana
Tamaaa mbaya
watakwambia usichague kazi, fanya kazi kwa bidii, usikate tamaa, pia mwombe Mungu utafanikiwa tu.Matajiri hawaelezi vyote.Nataka mtu anishauri kwa undani how to become rich. Ninahakikisha hapa kuwa, kitakachosemwa nitakifanyia kazi na kuleta mrejesho hapa baada ya kufanikiwa.
Madini sana mkuuwatakwambia usichague kazi, fanya kazi kwa bidii, usikate tamaa, pia mwombe Mungu utafanikiwa tu.Matajiri hawaelezi vyote.
hayo ni sawa ila sio hyo formula sio guarantee ya mafanikio, kufanikiwa level ya kuwa tajiri inahitaji nidhamu kubwa ya kila resource unayopata, fursa uitumie vizur, bidii ya kujituma, nidhamu ya pesa na kuepuka kabisa starehe, kujifunza kila siku na kuongeza vyato vya mapato, na uvumivu, weza kutumia akili na maarifa na teknolojia kufanikiwa katika unachofanya, na kweli mtoa rizki ni MUNGU, kusali na kutoa sadaka na kusaidia wahitaji hufungua milango ya baraka, ukizingatia yote hayo utafanikiwa ila mdogo mdogo, mafanikio yasiyo na makando kando huja taratibu, ila shortcut za utajiri zipo, ila zote huwa na mwisho mbaya, mfano kila THABO BESTER etc.
pia katafute vitabu vya walifanikiwa, kuna vitabu vinavyojibu hili swali, ila cha mtanzania ni kile cha Mengi " I CAN, I MUST, I WILL"
Bahati ni nini?.Bahati pia ina nafasi kubwa kuliko watu wanavyoamini....
Swali zuri sana bahati ni jambo linalotokea pasipo wewe kutarajia Kuna aina mbili za bahati nzuri na bahati mbayaBahati ni nini?.
Na mtaji wa Bei gani au Mali yako ikiwekwa kama dhamana tutachukua mkopo kiasi gani?Nataka mtu anishauri kwa undani how to become rich. Ninahakikisha hapa kuwa, kitakachosemwa nitakifanyia kazi na kuleta mrejesho hapa baada ya kufanikiwa.
Nakubali, kuna jamaa alikuwa anauzaga mkaa kando ya barabara, siku moja ikatokea ajali akawa tajiriBahati pia ina nafasi kubwa kuliko watu wanavyoamini....
Hiyo ajali ilimnufaishaje?Nakubali, kuna jamaa alikuwa anauzaga mkaa kando ya barabara, siku moja ikatokea ajali akawa tajiri