Jinsi ya kuwa tajiri

kuwa tariji panategeme kwanza kabisa lazima upate maarifa ya fedha na namna ya kuzihandle,lazima ujue watu waliofanikiwa wanaishije, lakini pia una hitaji uwe na kunnection ya watu waliofanikiwa au tunasema lazima rafiki zako wawe wamefanikiwa, jifunze uwekezaji, kufanya kazi kwa bidii, tafuta njia za kujiingizia kipata, fanya kazi na watu vizuri,usikatee tamaa, kuwa na mpango wa jinsi gani utaweza kutimiza ndoto yako kama huna mpango pasi hautapat uekeo wowote
 
Ahsante sana
 
Jifunze kuwa na roho mbaya nyuma ya Kila tajiri Kuna umafiya mkubwa sana ukiwa na roho nyepesi hutoboi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…