Jinsi ya kuwa tajiri

Jinsi ya kuwa tajiri

Unautaka utajiri umejiaandaa??.........wenzanko wamekimbia bila chupi huku.......unafanya mchezo kufi***WA na majini.............hakuna short Kati kwenye utajiri kuku wewe
 
Hi mbinu rahisi zaidi

Andaaa tsh 5ml

Andaa roho ngumu

Andaa miaka 10 ya mapambano

Tafuta uzoefu na elimu ya kilimo

Anza kulima mpunga kibiashara

Nakaziia Lima mpunga tuuu

Hakikisha kwenye hiyo miaka kumi hupotezi msimu wowote

Location; mikoa yenye historia ya mvua nyingi


After 10 year njoo unishukuru ?
 
Sometimes it's tax evasion[emoji23]
Tax evading to be precise 😀 this one has made most billionaires in this sorry nation. It still proves to be the most significant way to the riches.

Good Business + Tax evading + Time lapse = Multi millions.

The next best way is to do illegal shit. Selling Narcotics, Marijuana, Banned goods. Its more of a risk but doing so will turn you into a multi millionaire within a short period of time.

Illegal business + Long Time lapse = Multimillionaire.

Third and last, be a politician or secure big roles in the Government. This provides you a cover to doing almost any type of illegal shit without being harassed by the system.

Cover + Ilegal shit = Multimillionaire
 
Tax evading to be precise 😀 this one has made most billionaires in this sorry nation. It still proves to be the most significant way to the riches.

Good Business + Tax evading + Time lapse = Multi millions.

The next best way is to do illegal shit. Selling Narcotics, Marijuana, Banned goods. Its more of a risk but doing so will turn you into a multi millionaire within a short period of time.

Illegal business + Long Time lapse = Multimillionaire.
Mfano Kama upo dsm ukafungua kibanda unauza mom energy dabo Kiki na spirit za Bei Rahisi na sigara Basi na ukawa maeneo ya uswahilini ujue pesa utazikimbia hii ndo Biashara ya kuuwa maini ya watu huku wewe muuzaji ukitengenza faida ya kutosha.
 
Mfano Kama upo dsm ukafungua kibanda unauza mom energy dabo Kiki na spirit za Bei Rahisi na sigara Basi na ukawa maeneo ya uswahilini ujue pesa utazikimbia hii ndo Biashara ya kuuwa maini ya watu huku wewe muuzaji ukitengenza faida ya kutosha.
Hahahahaha amini kwamba 😀 wamasai wamejikita huko sana
 
Sema utajiri ni kuwa bahili na kukaa mbali na Anasa

Hii nilingudua kuwa pesa ukiwa nayo mfano unafukuzia mchongo wa mil 2 lakini kwa account una mil 1 ya kula chakula miezi miwili Basi unatafta michongo bila pressure na unakua unaangalia zaidi faida kuliko Hasara

Utajiri ni roho ya kuithamini Kesho kuliko leo.
 
Sema utajiri ni kuwa bahili na kukaa mbali na Anasa

Hii nilingudua kuwa pesa ukiwa nayo mfano unafukuzia mchongo wa mil 2 lakini kwa account una mil 1 ya kula chakula miezi miwili Basi unatafta michongo bila pressure na unakua unaangalia zaidi faida kuliko Hasara

Utajiri ni roho ya kuithamini Kesho kuliko leo.
Inategemea na vyanzo vyako,pana watu wanakula Sana anasa,pisi kali,wanalewa Sana ,fanya starehe Sana na still ni matajiri.
Ishu za ubahili ni ishu za masikini na waoga kutafuta.
 
Utajiri ni complex ishu na unatokea KWA njia nyingi tu za kutegemea au kutotegemea.
Pana jamaa kanunua jiwe kwa milioni 2 kaenda uza bilioni 36.
Pana jamaa kapiga malikale kapata mgawo bilioni 40.
Lala masikini amka tajiri.
Kupata ni foleni ngojea ya kwako
 
Inategemea na vyanzo vyako,pana watu wanakula Sana anasa,pisi kali,wanalewa Sana ,fanya starehe Sana na still ni matajiri.
Ishu za ubahili ni ishu za masikini na waoga kutafuta.
Hao teyari wameshajitafuta, na uchumi wao upo vizuri, hata akila bata mwezi mzima, hawezi ku affect mtaji wake in a negative way , still bado atakuwa vizuri,

Sasa, kama wew ndio unautafuta utajiri, usifanye hivyo, utakuwa unapiga hatua 3 mbele, hatua 10 nyuma..
 
Hi mbinu rahisi zaidi

Andaaa tsh 5ml

Andaa roho ngumu

Andaa miaka 10 ya mapambano

Tafuta uzoefu na elimu ya kilimo

Anza kulima mpunga kibiashara

Nakaziia Lima mpunga tuuu

Hakikisha kwenye hiyo miaka kumi hupotezi msimu wowote

Location; mikoa yenye historia ya mvua nyingi


After 10 year njoo unishukuru ?
Vipi wewe umeyafanya hayo au unaongea tu kwa kuwa kuongea ni rahisi?
 
Back
Top Bottom