Translator and 97 others
Member
- Oct 8, 2020
- 46
- 98
Juma lokole sio mwanaume ni half manzi😅Kwaio sisi tunafanana tabia na kina Juma lokole we mzee tutake radhi[emoji35]
Sent from my Nokia tochi ya 1980 using JamiiForums mobile app
msaada wako is highly appreciatedJ
Juma lokole sio mwanaume ni half manzi😅
Si kwelikumuelewa mwanamke
ingia kwenye mahusiano na wanawake wengi kadri uwezavyo, hii itakusaidia kukutana na maumivu ya kila aina yanayosababishwa na wanawake kwenye mahusiano na hivyo kuwa sugu na kuona ni ya kawaida. wanawake hawataacha kuwaumiza wanaume njia pekee ya kuwaelewa ni kuhimili maumivu yao.
kumuelewa mwanaume.
ingia kwenye mahusiano na mwanaume mmoja, jifunze tabia zake zote kwani wanaume wote wanafanana tabia hii ni kutokana na namna utakavyokuwa unaishi naye(tabia yako)"
HahahahahaDuuh uzi tayari
kataa kwa hatari yako mwenyeweSi kweli
Akina juma lokole wanatumia tu majina ya kiume,lakini wao si wanaumeKwaio sisi tunafanana tabia na kina Juma lokole we mzee tutake radhi[emoji35]
Sent from my Nokia tochi ya 1980 using JamiiForums mobile app
Mtoq mada anasema "Wanaume wote tunafanana tabia""Akina juma lokole wanatumia tu majina ya kiume,lakini wao si wanaume