Jinsi ya kuwapata Wanawake kirahisi

Jinsi ya kuwapata Wanawake kirahisi

Raia mpya

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2022
Posts
673
Reaction score
1,915
Wazee salama ngoja niende moja kwa moja kwenye point nimegundua njia rahisi za kuwapata hawa viumbe pasua kichwa , njia hii inahitaji akili kidogo tu na njia yenyewe ni kuacha kuwashobokea au kuwapaparikia wanawake.

Wazee amini usiamini ukiwa bize na mambo yako yaani na life lako mademu watakutafuta sana utakula papuchi mpaka ukimbie.
 
Principle ni ile ndo umejua leo demu ukiwa available kwake mda wote anakuona mshamba kuwa kauzu kuwa serious ukiangalia makazini watu waliooa wanakuwa bussy na ndo wanakula mademu kutwa unaweza usiamini ila wale wakupenda story na kuchekesha chekesha wanatoswa wanaonekana wana akili za kitoto
 
Principle ni ile ndo umejua leo demu ukiwa available kwake mda wote anakuona mshamba kuwa kauzu kuwa serious ukiangalia makazini watu waliooa wanakuwa bussy na ndo wanakula mademu kutwa unaweza usiamini ila wale wakupenda story na kuchekesha chekesha wanatoswa wanaonekana wana akili za kitoto
Nakuunga mkono kaka wewe ndio umenielewa ila wengine watabisha
 
Akkwa busy anasaka hela kwa kweli mbususu zitanileta zenyewe maana wananwake wanajua kunusa pesa from 100 miles away...na hawana shida kukupa mbususu kama ndalama zipo
Eenhe ndio ndio mkuu na hio kanuni ni nzuri hutumii nguvu sana
 
Back
Top Bottom