Jinsi ya kuzuia harufu mbaya kwenye mapumbu

Hhahahaha nimemkumbuka yule bwana iliesemekana uvungu wake wa pumbu umejaa pumba pumba dah hahahahaa
 

Ungejua nilipo wala usingeropoka hayo maneno. By the way, kwani nimesema mimi ndo nabadili baada ya siku tatu? Mtu hadi anafikia stage ya kunuka halafu umkazanie kila siku abadili si utakuwa uongo live? That's whynikasema aanze na siku tatu kwanza.

Relax mkuu....hunifahamu - sikufahamu!
 
Nimejifunza kitu shukran
 
We unamshangaa kdume kubadili boxer ndani ya siku tatu kweli we ni shori
 
ulifanya utafiti kwa wangapi....?
usafi muhimu hata wakati wa haja ndogo....
 
Dahh hili limekuwa tatizo kubwa sana tuwasaidieje hawa jamaa wananuka ma.pu.m.bu yani akitoa boksa hali ya hewa inabadilika na hata zoezi la BJ linafanyika kwa tabu sana
Mkuu usisahau na papuchi zinazotowa harufu ya panya kafa unawasaidiaje na hawa
 
sasa mtu hadi anakuja mko wote mna haraka gani ya kukimbilia kunyonyana kabla hata ya kujipiga maji? iwe mwanamke au mwanaume..alafu mnakuja kulialia hapa..chukua muda wako, jifanyieni usafi...mjikaushe vizuri mambo ndo yaendelee..
hayo mambo ya pwani bwana mjini tuko nafanya vitu kwa usmart na usasa zaidi
 
Dahh hili limekuwa tatizo kubwa sana tuwasaidieje hawa jamaa wananuka ma.pu.m.bu yani akitoa boksa hali ya hewa inabadilika na hata zoezi la BJ linafanyika kwa tabu sana
Ni tatizo la kitaifa kwa sasa na hakuna dawa zaidi ya kuoga na kujikausha
 
Ulianza vizuri pale mwanzo ila mwishoni ktk kumalizia ndo umeharibu.
By the way nikukumbushe tu, si kila Mchina unayemuona anajua kung-fu.
 
Umesema vizuri sana. Tatizo ni usafi tu. Wakati wa kuoga unatakiwa ujisafishe vizuri sana maeneo kati ya mapaja na korodani vizuri. Kuna dead skin inakuwepo around korodani kila siku ukisugua ikatoka kamwe huwezi toa harufu uko chini.
 
Sijaelewa...nguo ya ndani, ubadili baada ya siku tatu??? Unajishughulisha na nini kuingiza kipato? Hali ya hewa ya unapoishi ikoje?

Suruali, YES! Boxer? Vest? Shirt? Hapana.
Labda yupo makambako Iringa, kutoka jasho ni nadra sana
 
sifikii na sijapata wa kunyoaa jameni...hahahhaa ww ni shidaaa
 
sifikii na sijapata wa kunyoaa jameni...hahahhaa ww ni shidaaa

Haha ha haaa Hufikii... tafuta wa kukusaidia. AU Unaweza tumia veet.... paka vizuriii baada ya dakika kumi toa... ni rahisi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…