Jinsi ya kuzuia nywele zisiote haraka

Jinsi ya kuzuia nywele zisiote haraka

Hahahahaha lol! Ukawa unachungulia kila siku na kujiuliza haya mavuzi yangu veepee? Mbona hayaoti! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
 
Kuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
K nayo Dizaini inanoga sana ikiwa na walau tums nyasi nyasi
 
Aiseee... Jitahidi upate jina lake dada yangu. So inamaana mpaka leo hakujaota kitu huko?safi sana kunakuwa clean and soft... Napenda kuwe hivyo kwa mdada kila kitu kinaonekana clear bila chenga

Kuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
 
Aiseee... Jitahidi upate jina lake dada yangu. So inamaana mpaka leo hakujaota kitu huko?safi sana kunakuwa clean and soft... Napenda kuwe hivyo kwa mdada kila kitu kinaonekana clear bila chenga
Kumeshaota nlikaa kama two months Hamna kituuuu nliogopa nkamiss msitu wangu
 
Nmekuwa nikikwazika na kasi ya uotaji wa nywele kichwani kwangu. Binafsi napenda sana kupiga kipara.naondoa nywele sote kabisa.

Shida ni kuwa baada ya siku tatu nakuta tayar zimeshaanza kuota tena kwa wing tu.nmenyoa jumapili lakin leo n nmejiangalia kichwan utadhan week mbili zimepita.

Je kuna namna ya kuchelewesha nywele kuota?
Kata Kichwa...!
 
Back
Top Bottom