Ntawapa jina lake uku ukuuAcha uchoyo bana teh
Haaaaahaaa wew hazioti unakipara?Nishawahi kuambiwa:Ubongo wa tahira ni mbolea kwa ajili ya uotaji nywele.
Hii inahitajika kwa sanaKuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
Kuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
K nayo Dizaini inanoga sana ikiwa na walau tums nyasi nyasiKuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
Tupo wengi mkuuMe nataka masharubu yasiote kabisa
Kuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
Kumeshaota nlikaa kama two months Hamna kituuuu nliogopa nkamiss msitu wanguAiseee... Jitahidi upate jina lake dada yangu. So inamaana mpaka leo hakujaota kitu huko?safi sana kunakuwa clean and soft... Napenda kuwe hivyo kwa mdada kila kitu kinaonekana clear bila chenga
Umeonaeee sio iwe plain kama kwa mtotoK nayo Dizaini inanoga sana ikiwa na walau tums nyasi nyasi
Nakwambia siku zilivoanza kuota sikuaminiii nilifurahiiHahahahaha lol! Ukawa unachungulia kila siku na kujiuliza haya mavuzi yangu veepee? Mbona hayaoti! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kata Kichwa...!Nmekuwa nikikwazika na kasi ya uotaji wa nywele kichwani kwangu. Binafsi napenda sana kupiga kipara.naondoa nywele sote kabisa.
Shida ni kuwa baada ya siku tatu nakuta tayar zimeshaanza kuota tena kwa wing tu.nmenyoa jumapili lakin leo n nmejiangalia kichwan utadhan week mbili zimepita.
Je kuna namna ya kuchelewesha nywele kuota?
Hebu tuoneNakwambia siku zilivoanza kuota sikuaminiii nilifurahii