Jinsi ya kuzuia nywele zisiote haraka

Zamani uliambiwa na wahenga kwenda haja kubwa mara kwa mara aka kukata gogo in sababu kuu nywele zinaota kwa kasi sana
 
Paka asali ila jiandae kuotea kwa ndani muwasho wake utaomba nyerere afufuke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ile sumu yakuua magugu inaitwaje? iyo unachanganya na maji ya betry alafu ananawa kichwa na sehemu mbalimbali
 
Kuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
Una picha ya huko chini ilivyokuwa inaonekana?Mimi sijakiamini
 
Ukinyoa paka yai viza
 
kuna aina flani za chupi kutoka china ukishanyoa unaivaa hakuna kuota kitu mpaka miezi mitatu hadi minne.
 
Kuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
Unitag na mimi ukikumbuka
 
watu hamtaki misitu yenu😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…