Zamani uliambiwa na wahenga kwenda haja kubwa mara kwa mara aka kukata gogo in sababu kuu nywele zinaota kwa kasi sanaNmekuwa nikikwazika na kasi ya uotaji wa nywele kichwani kwangu. Binafsi napenda sana kupiga kipara.naondoa nywele sote kabisa.
Shida ni kuwa baada ya siku tatu nakuta tayar zimeshaanza kuota tena kwa wing tu.nmenyoa jumapili lakin leo n nmejiangalia kichwan utadhan week mbili zimepita.
Je kuna namna ya kuchelewesha nywele kuota?
Unataka uone nini??? Kipochi manyoya changu akuhHebu tuone
Qurie hivi hujapata jina tu? Nimesimamisha huduma za ukataji misitu nakusubiri wewe tehUnataka uone nini??? Kipochi manyoya changu akuh
Uongo wake tu!!!Qurie hivi hujapata jina tu? Nimesimamisha huduma za ukataji misitu nakusubiri wewe teh
Endelea tuu kukata mama usije ukafuga wanyama wakaliQurie hivi hujapata jina tu? Nimesimamisha huduma za ukataji misitu nakusubiri wewe teh
Ski uongo... Jina limenitoka tuuUongo wake tu!!!
Una picha ya huko chini ilivyokuwa inaonekana?Mimi sijakiaminiKuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
Na wewe zawapi ??Mi nataka ziote haraka mwenye dawa plz
Ukinyoa paka yai vizaNmekuwa nikikwazika na kasi ya uotaji wa nywele kichwani kwangu. Binafsi napenda sana kupiga kipara.naondoa nywele sote kabisa.
Shida ni kuwa baada ya siku tatu nakuta tayar zimeshaanza kuota tena kwa wing tu.nmenyoa jumapili lakin leo n nmejiangalia kichwan utadhan week mbili zimepita.
Je kuna namna ya kuchelewesha nywele kuota?
Za Kandahar kwa Bin LadenNa wewe zawapi ??
Yaaan ww sijui ukojeMi nataka ziote haraka mwenye dawa plz
Unitag na mimi ukikumbukaKuna shaving cream moja nliitumia kunyolea uku kwa bibi nlikaa kama miezi miwili bila nywele kuota mpaka nka miss mav*zi yangu
Nmeisahau jina naona hiyo ingekufaa nkiikumbuka jina ntarudi
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Za Kandahar kwa Bin Laden
Bahati mbaya sikupiga pichaUna picha ya huko chini ilivyokuwa inaonekana?Mimi sijakiamini