kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Wakuu msaada jinsi kuzuia SMS ikiingia isionekane kwenye kioo wakat nipo mbal Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu msaada jinsi kuzuia SMS ikiingia isionekane kwenye kioo wakat nipo mbal Asanteni
Mkuu Kwa iyo hamna app mbadala?Ungekua unatumia simu ya Xiaomi ni rahisi mno, hata mkeo ashike simu miaka mia hawezi pata usichotaka aone, sio SMS tu hadi applications na kila kitu kwenye simu yako hawezi kuona na hawezi gundua kitu
Sio mke mkuu hata wengineKitu gani unachoficha na hutaki mkeo ajue..?
Mkuu hi ina sound?disable app notification
Ingia kwenye settings then notifications angalia sms App notification chagua "hide sensitive notification contents" usipoiona hapo usitoke kwenye notifications hapo angalia Advanced Notifications kisha angalia "sms" bofya uchague "hide sensitive content"Wakuu msaada jinsi kuzuia SMS ikiingia isionekane kwenye kioo wakat nipo mbal Asanteni
Sms inaingia kimyakimya bila wewe kujuaMkuu hi ina sound?
Kelele kama hujui, hebu acha wanaojua wamjibuKitu gani unachoficha na hutaki mkeo ajue..?
Wakuu msaada jinsi kuzuia SMS ikiingia isionekane kwenye kioo wakat nipo mbal Asanteni
disable app notification
Shukrani mkuuMessage>Option/setting>Notification/Notification Panel>Message Preview>Off/No>Done/Save
Message>Option/setting>Notification/Notification Panel>Message Preview>Off/No>Done/Save
Kwani aliweka vigezo ni Txt zipi apate!?.. Ye alitaka zisionekane zikiingia hakutaka kublock baadhi ya txt au sikumuelewa hapa 👇👇👇Sasa hapo si itakuwa kila msg inayoingia hapati SMS
Hata msg ya mshahara uloingia hatapata
Wakuu msaada jinsi kuzuia SMS ikiingia isionekane kwenye kioo wakat nipo mbal Asanteni