Old story
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 2,264
- 2,152
Inayo na kumbuka bila kuweka patern haina maanaInategemea na simu hivi tecno inayo?sory lakini nauliza tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inayo na kumbuka bila kuweka patern haina maanaInategemea na simu hivi tecno inayo?sory lakini nauliza tuu
Ingia kwenye settings then notifications angalia sms App notification chagua "hide sensitive notification contents" usipoiona hapo usitoke kwenye notifications hapo angalia Advanced Notifications kisha angalia "sms" bofya uchague "hide sensitive content"
Hii ni kwa watumiaji wa Samsung phones, nadhani hata simu zingine haitatofautiana sana hii
Cheza kwenye settings hapo utaipata tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mchepukaji kazini[emoji125]Nunua nokia ya torch special kwa michepuko ukitaka kutoka una screen no kuna inbox yake special kusoma sms au simu zikiingia hakuna saut wala vibration
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mchepukaji kazini[emoji125]
Nyau pori wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ac yangu imebe hacked jaman sio me
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23]Nyau pori wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingia uwanja wa sms [emoji117]gusa vile vidoti vitatu viko juu kulia[emoji117]Settings[emoji117]More settings[emoji117]text messages[emoji117]Delivery reports.Mkuu natumia Samsung A 8 tatizo la sim yangu haina option delivery report je nafanyaje hapa?
Asa hiyo flight mode si anaitoa tu fasta afu unabaki uchi.Eka tu flight mode haviingii wala havitoki
Mkuu unafanyaje maana natumia Xiaomi piaUngekua unatumia simu ya Xiaomi ni rahisi mno, hata mkeo ashike simu miaka mia hawezi pata usichotaka aone, sio SMS tu hadi applications na kila kitu kwenye simu yako hawezi kuona na hawezi gundua kitu
kwenye xiaomi unaingia sehemu ganiUngekua unatumia simu ya Xiaomi ni rahisi mno, hata mkeo ashike simu miaka mia hawezi pata usichotaka aone, sio SMS tu hadi applications na kila kitu kwenye simu yako hawezi kuona na hawezi gundua kitu