Jinsi ya kuzuia sms isionekane kwenye kioo wakat nipo mbal na sim

Jinsi ya kuzuia sms isionekane kwenye kioo wakat nipo mbal na sim

Nunua nokia ya torch special kwa michepuko ukitaka kutoka una screen no kuna inbox yake special kusoma sms au simu zikiingia hakuna saut wala vibration
 
Mkuu natumia Samsung A 8 tatizo la sim yangu haina option delivery report je nafanyaje hapa?
Ingia kwenye settings then notifications angalia sms App notification chagua "hide sensitive notification contents" usipoiona hapo usitoke kwenye notifications hapo angalia Advanced Notifications kisha angalia "sms" bofya uchague "hide sensitive content"

Hii ni kwa watumiaji wa Samsung phones, nadhani hata simu zingine haitatofautiana sana hii

Cheza kwenye settings hapo utaipata tu
 
Nunua nokia ya torch special kwa michepuko ukitaka kutoka una screen no kuna inbox yake special kusoma sms au simu zikiingia hakuna saut wala vibration
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mchepukaji kazini[emoji125]
 
Mkuu natumia Samsung A 8 tatizo la sim yangu haina option delivery report je nafanyaje hapa?
Ingia uwanja wa sms [emoji117]gusa vile vidoti vitatu viko juu kulia[emoji117]Settings[emoji117]More settings[emoji117]text messages[emoji117]Delivery reports.

Hapo kwenye Deliveey reports iweke ON au tunaita "Check" yaani uiwashe.
 
Ungekua unatumia simu ya Xiaomi ni rahisi mno, hata mkeo ashike simu miaka mia hawezi pata usichotaka aone, sio SMS tu hadi applications na kila kitu kwenye simu yako hawezi kuona na hawezi gundua kitu
Mkuu unafanyaje maana natumia Xiaomi pia
 
Ungekua unatumia simu ya Xiaomi ni rahisi mno, hata mkeo ashike simu miaka mia hawezi pata usichotaka aone, sio SMS tu hadi applications na kila kitu kwenye simu yako hawezi kuona na hawezi gundua kitu
kwenye xiaomi unaingia sehemu gani
 
Back
Top Bottom