AkiliMingi AM
Member
- Jul 5, 2020
- 88
- 60
Miaka kama miwili nyuma nilikuepo huko mererani, sikua huko kwa ajili ya kuchimba madini la hasha bali nilikuwa kwa mishe mishe zangu zingine,
Nilikuwa niko na binamu yangu wa kiume yaani mtoto wa mjomba wangu kabisa kabisa, kuna zile kutoka kula kula misele kitaani siku moja tukakutana na ma binti wawili, ila mumoja wao ni mkali asikuambie mtu na mm nikawa nimempenda uyo demu mkali kuliko mwenzie, kumbe binamu yangu naye kamuelewa kinoma lakini demu hakuwa ananitaka mm kabisa bali alikuwa anamtaka binamu yangu, kila tukifika gheto tunatambiana nani wa kwanza kumpata yule dem yani kila mtu anasema yy ndio atampata kabla ya mwenzie,
Siku ya siku binamu yangu akaniomba nimpishe gheto ana demu anakuja, hakutaka kuniambia ni demu yupi nilipo ondoka nikakaa mahali kuchunguza ni demu gani ataingia gheto, ghafla nikashituka kumuona demu tulekuwa tuna mgombea ndio alie ingia gheto, nikasema nishapigwa KO tayr, nikasogea karibu kabisa upande wa dirishani kusikilizia, ila nikawa nasikia minong'ono ya chin chin si ya kwamba wanafanya kitu...
mwishowe walitoka kusindikizana nikaingia gheto hakukua na dalili yoyote ya kama kuna watu wamepigana miti kitandani, nilifurahi kinoma ila binamu alipo rudi akanikata stim kabisa, akanambia kua demu ana junsia mbili na demu mwenyew ndio kamruhusu amwangalie ila ile ya kiume ni ndogo si kama za kawaida za wanaume imekaa mfumo wa wale watu wanakuaga na vidole sita , niliishiwa pozi kabisa na hata binamu yangu yeye alimua kumpotezea na siku wanaachana demu alilalamika sana, mm nikashukuru kuwa sikufanya lolote sikumtongoza maana ningepata lawama za bure.
wana jf utachukua uamuzi gani mwanamke wako anapotaka kukupa tunda alafu unapata ana jinsia mbili ya kike na kiume.?
Nilikuwa niko na binamu yangu wa kiume yaani mtoto wa mjomba wangu kabisa kabisa, kuna zile kutoka kula kula misele kitaani siku moja tukakutana na ma binti wawili, ila mumoja wao ni mkali asikuambie mtu na mm nikawa nimempenda uyo demu mkali kuliko mwenzie, kumbe binamu yangu naye kamuelewa kinoma lakini demu hakuwa ananitaka mm kabisa bali alikuwa anamtaka binamu yangu, kila tukifika gheto tunatambiana nani wa kwanza kumpata yule dem yani kila mtu anasema yy ndio atampata kabla ya mwenzie,
Siku ya siku binamu yangu akaniomba nimpishe gheto ana demu anakuja, hakutaka kuniambia ni demu yupi nilipo ondoka nikakaa mahali kuchunguza ni demu gani ataingia gheto, ghafla nikashituka kumuona demu tulekuwa tuna mgombea ndio alie ingia gheto, nikasema nishapigwa KO tayr, nikasogea karibu kabisa upande wa dirishani kusikilizia, ila nikawa nasikia minong'ono ya chin chin si ya kwamba wanafanya kitu...
mwishowe walitoka kusindikizana nikaingia gheto hakukua na dalili yoyote ya kama kuna watu wamepigana miti kitandani, nilifurahi kinoma ila binamu alipo rudi akanikata stim kabisa, akanambia kua demu ana junsia mbili na demu mwenyew ndio kamruhusu amwangalie ila ile ya kiume ni ndogo si kama za kawaida za wanaume imekaa mfumo wa wale watu wanakuaga na vidole sita , niliishiwa pozi kabisa na hata binamu yangu yeye alimua kumpotezea na siku wanaachana demu alilalamika sana, mm nikashukuru kuwa sikufanya lolote sikumtongoza maana ningepata lawama za bure.
wana jf utachukua uamuzi gani mwanamke wako anapotaka kukupa tunda alafu unapata ana jinsia mbili ya kike na kiume.?