Jinsia mbili za kike

Jinsia mbili za kike

Sasa zote zina tumbo la uzazi tofauti au!!! mi sielewi hapa. nadhani kuna moja haifanyi kazi.
 
duh mi ndo mara yangu ya kwanza kuskia kitu kama hiyo.ila kama zote zko poa afu hakuna tatzo kiafya hongera

soma mwanachi ya leo j,pili, kuna mwanamke wa aina hiyo amezaa mapacha huko ughaibuni.
 
Mkuu tigo haifai katika mahusiano.
 
Sasa zote zina tumbo la uzazi tofauti au!!! mi sielewi hapa. nadhani kuna moja haifanyi kazi.

Ndiomaana nataka kwenda kumuona Dr kwa maswali zaidi...........
 
C C, mimi ninachotaka kujua, matatizo ya kimaumbile huwa yanashughulikiwa na wazazi mtoto anapozaliwa. Wazazi wa mkeo kwa nini hawakushughulikia tatizo hilo mkeo akiwa bado mdogo? Pili anaogopa kwenda kwa daktari ulipomtongoza kwa nini hakuogopa kukuonyesha wewe?
 
Usijeukawa unafanyia kwenye kitovu!. Huwa unatumia mihadarati kabla ya gemu?

Kama ulivyotumiakwenye kuandika huo upuuzi wako (sio kila mtu ana gari la kusukuma wengine moto mara moja)
 
C C, mimi ninachotaka kujua, matatizo ya kimaumbile huwa yanashughulikiwa na wazazi mtoto anapozaliwa. Wazazi wa mkeo kwa nini hawakushughulikia tatizo hilo mkeo akiwa bado mdogo? Pili anaogopa kwenda kwa daktari ulipomtongoza kwa nini hakuogopa kukuonyesha wewe?

Swali la maana lakini mda ndio ushapita na sito muuliza japo kalisoma na alama zake za nyakati hazionyeshi lawama kwa wazazi.,,
Asikii maumivu kwenye K No 1 hadi K 2 zote anasikia rahhhaaaa vibaya nikiwa kwenye K No namuona jinsi anavyoburudiak nilipita kwenye K 2 mpango mzima kwani mwenyewe alifikiri kutakuwa na maumivu ni damu kiasi nilimwambia hiyo kawaida
 
Ziko hivi..moja iko juu kdg yaani tofauti na maumbile ya kike ya kawaida na nyengine iko kwa chini yake.na zote ziko freash moto ule ule (nilikesha nazo)

Lol at least nimecheka mana am so down na msiba wetu wa taifa!mnataka ashonwe moja au uliona kammchezo ka zote mbili kazuri? dah wonders shall never end!
 
Lol at least nimecheka mana am so down na msiba wetu wa taifa!mnataka ashonwe moja au uliona kammchezo ka zote mbili kazuri? dah wonders shall never end!

Hauna kuziba kwani zote zinatoa burudani nzuri na ya hali juu never before
 
Japo kuna kajiburudani kwenye hii mada lakini wadau tujaribu kutoa ushauri someni jamaa alivyoandika na inaelekea mda fulani alikuwa karibu na shemu wetu sasa utani mwengine tuwe makini

Mimi nakupongeza kwanza kumpata mwenye K mbili maana ukipiga ya juu ile ikianza kuchoka unamia ya chini mwendo mdundo...Dizaini hiyo wako japo si wengi Luck you ma bro

Ushauri jitahidi kula vizuri fanya mazoezi ili uwendane na gemu na huyo shemu wetu fanya unavyo jua baada ya mda wa kujuana kitabia weka mambo juu ya meza kama uko fiti tangaza ndoa msimuuzi mwenyezi mungu

Ushauri mwengine kwa ndio uko nae jaribu kusubiri mpka hapo atakapozianza siku zake uone tatizo liko au lah.Uwenda alikuwa anakosa wa kumpunga.Minyama ndani minyama nje nayo dawa wangu kapona mwenyewe hakuna maumivu wala tumbo kuuma

Dunda kwetu,Ushauri na mawazo nitazingatia
 
Back
Top Bottom