Jionee maajabu! Hizi ndizo aina tatu za wanawake na styles zao

Jionee maajabu! Hizi ndizo aina tatu za wanawake na styles zao

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Kuna Aina 3 za WANAWAKE na Style zao za Mahusiano ya Kimapenzi,kwahiyo Unapochagua Aina unayotaka uwe na uhakika utaweza kuimudu...

TYPE 1: Aina ya KWANZA ni ile ambayo inaitwa CORPORATE BABES...Hawa ni Wanawake ambao wako very Independent, wengi wamesoma na wana kazi zao nzuri na WANAMILIKI MAGARI YAO...

Akija kulala kwako anakuja na Gari yake anapaki, anataka umpe Massage kwa sababu ya Uchovu wa Vikao, Report na Excel Sheet za Ofisini.. Hawataki Hela yako, All they need is a good CASSAVA Akiamka Asubuhi kabla hajaenda Kazini atapika Chai kisha atakuja kukuaga kwa Maneno Haya, "Baby, Mi nawahi Kazini, Nimekutengenezea Chai na Mayai, ukiamka Let me Know"

TYPE 2: Aina ya PILI hawa Sio Corporate Kiivyo ila wanajiita HUSTLERS.. Wana Vibiashara flani vinavyowaweka mjini lakini HAWANA MAGARI...

Akija kwako atakusimulia Miradi yake, Mzigo wa Vitenge alioagiza toka Congo, ATACHOMEKEA kwamba Kodi yake inakaribia kuisha..Mizinga yao huwa ni SEASONAL ila Utajuta.. Anakutegea ule muda unakaribia "Kuutupa Mkojo" anakupiga na hii Bili, "Baby naomba niongezee Milioni 3 nna mzigo
Bandarini umekwama halafu Cheque yangu imekwama hadi Next Week Please Bae ntakurudishia". Mkopeshe Uone!

TYPE 3: Aina ya 3 hawa wanaitwa NUNGAYEMBE TYPE... Shule Hawajaenda na Hawataki Kusoma kabisa... Hawataki kufanya Kazi, wao wanataka
KUDANGA, Kujibinua na wawe SELEBU GHAFLA... Ukimkuta Samaki Samaki unaweza kudhani ni Corporate Manager wa Benki Flani kumbe anakula
Mingo... Ukidate naye utafurahi...

Akija Ghetto kwako kulala asubuhi Sa1 wakati Usingizi ndo Umeanza
kukunogea ANAKUAMSHA, "Baby mi nataka niende, sasa UNANIACHAJE?" Unamuuliza, NAKUACHAJE KIVIPI? "Naomba Hela ya Bajaji SINA HATA
SHILINGI".

Ukipata TYPE 1, Usikawie, MUOE... Thats a Woman who can MULTIPLY YOUR WEALTH!

Ukipata TYPE 2 My Dear Kaza Moyo tu maana Umejitakia Mwenyewe. Ukipata TYPE 3 hakikisha UMEAGA KWENU maana huwa Wanaenda kwa Waganga kukuchawia ili usimuache, unashangaa demu ukitaka kumuacha huwezi kumbe alishakuwekea Kipande cha Nyama kwenye Papa
muda mrefu tu!

WANAUME TUNA KAZI SANA!
 
Hapa lazima uwe Locked Padlock!! Halafu uishi Karibu na bahari au Katikati ya nchi ndio hawa viumbe utawaelewa!

Tumetofautiana japo wote Twapenda Hela!!
 
But kwa maeneo ya town type 1 huwa na tabia za type 2 bila kubisha and Ceteris peribus.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]aseeh
 
safi sana,you have been awarded 10 trophies🙂😉🙁😡😕😎😛😀😱😳
 
Ha ha ha ha serius JF never get bored....
 
Haahaaaaa JJ njoo uone huku,,,Nahis we upo 1 type hapo
 
Kuna Aina 3 za WANAWAKE na Style zao za
Mahusiano ya Kimapenzi,kwahiyo Unapochagua Aina
unayotaka uwe na uhakika utaweza kuimudu...

TYPE 1: Aina ya KWANZA ni ile ambayo inaitwa
CORPORATE BABES...Hawa ni Wanawake ambao wako
very Independent, wengi wamesoma na wana kazi zao nzuri na WANAMILIKI MAGARI YAO...Akija kulala
kwako anakuja na Gari yake anapaki, anataka umpe
Massage kwa sababu ya Uchovu wa Vikao, Report na
Excel Sheet za Ofisini..Hawataki Hela yako, All they
need is a good CASSAVA Akiamka Asubuhi kabla
hajaenda Kazini atapika Chai kisha atakuja kukuaga kwa Maneno Haya, "Baby, Mi nawahi Kazini, Nimekutengenezea Chai na Mayai, ukiamka Let me Know"

TYPE 2: Aina ya PILI hawa Sio Corporate Kiivyo ila
wanajiita HUSTLERS..Wana Vibiashara flani
vinavyowaweka mjini lakini HAWANA MAGARI...Akija
kwako atakusimulia Miradi yake, Mzigo wa Vitenge alioagiza toka Congo,ATACHOMEKEA kwamba Kodi
yake inakaribia kuisha..Mizinga yao huwa ni
SEASONAL ila Utajuta.. Anakutegea ule muda
unakaribia "Kuutupa Mkojo" anakupiga na hii Bili,
"Baby naomba niongezee Milioni 3 nna mzigo
Bandarini umekwama halafu Cheque yangu imekwama hadi Next Week Please Bae ntakurudishia"
Mkopeshe Uone!

TYPE 3: Aina ya 3 hawa wanaitwa NUNGAYEMBE TYPE...Shule Hawajaenda na Hawataki Kusoma
kabisa...Hawataki kufanya Kazi, wao wanataka
KUDANGA, Kujibinua na wawe SELEBU GHAFLA... Ukimkuta Samaki Samaki unaweza kudhani
ni Corporate Manager wa Benki Flani kumbe anakula
Mingo...Ukidate naye utafurahi...Akija Ghetto kwako
kulala asubuhi Sa1 wakati Usingizi ndo Umeanza
kukunogea ANAKUAMSHA, "Baby mi nataka
niende, sasa UNANIACHAJE?" Unamuuliza, NAKU ACHAJE KIVIPI? "Naomba Hela ya Bajaji SINA HATA
SHILINGI"

Ukipata TYPE 1, Usikawie,MUOE...Thats a Woman who
can MULTIPLY YOUR WEALTH!
Ukipata TYPE 2 My Dear Kaza Moyo tu maana
Umejitakia Mwenyewe. Ukipata TYPE 3 hakikisha UMEAGA KWENU maana huwa Wanaenda kwa
Waganga kukuchawia ili usimuache, unashangaa
demu ukitaka kumuacha huwezi kumbe
alishakuwekea Kipande cha Nyama kwenye Papa
muda mrefu tu! WANAUME TUNA KAZI SANA!

Hahahhahaha dungaembe
 
Back
Top Bottom