Jionee maajabu! Hizi ndizo aina tatu za wanawake na styles zao

Jionee maajabu! Hizi ndizo aina tatu za wanawake na styles zao

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Daah kazi kweli kweli. Napenda hizi threads. Habari zinazotugusa kweli kweli na tunachangia bila mihemuko ya siasa na kuganga njaa. Big up mleta hoja.
 
Teh teh teh teh...Manugayembe noooma
Kuna Aina 3 za WANAWAKE na Style zao za
Mahusiano ya Kimapenzi,kwahiyo Unapochagua Aina
unayotaka uwe na uhakika utaweza kuimudu...

TYPE 1: Aina ya KWANZA ni ile ambayo inaitwa
CORPORATE BABES...Hawa ni Wanawake ambao wako
very Independent, wengi wamesoma na wana kazi zao nzuri na WANAMILIKI MAGARI YAO...Akija kulala
kwako anakuja na Gari yake anapaki, anataka umpe
Massage kwa sababu ya Uchovu wa Vikao, Report na
Excel Sheet za Ofisini..Hawataki Hela yako, All they
need is a good CASSAVA Akiamka Asubuhi kabla
hajaenda Kazini atapika Chai kisha atakuja kukuaga kwa Maneno Haya, "Baby, Mi nawahi Kazini, Nimekutengenezea Chai na Mayai, ukiamka Let me Know"

TYPE 2: Aina ya PILI hawa Sio Corporate Kiivyo ila
wanajiita HUSTLERS..Wana Vibiashara flani
vinavyowaweka mjini lakini HAWANA MAGARI...Akija
kwako atakusimulia Miradi yake, Mzigo wa Vitenge alioagiza toka Congo,ATACHOMEKEA kwamba Kodi
yake inakaribia kuisha..Mizinga yao huwa ni
SEASONAL ila Utajuta.. Anakutegea ule muda
unakaribia "Kuutupa Mkojo" anakupiga na hii Bili,
"Baby naomba niongezee Milioni 3 nna mzigo
Bandarini umekwama halafu Cheque yangu imekwama hadi Next Week Please Bae ntakurudishia"
Mkopeshe Uone!

TYPE 3: Aina ya 3 hawa wanaitwa NUNGAYEMBE TYPE...Shule Hawajaenda na Hawataki Kusoma
kabisa...Hawataki kufanya Kazi, wao wanataka
KUDANGA, Kujibinua na wawe SELEBU GHAFLA... Ukimkuta Samaki Samaki unaweza kudhani
ni Corporate Manager wa Benki Flani kumbe anakula
Mingo...Ukidate naye utafurahi...Akija Ghetto kwako
kulala asubuhi Sa1 wakati Usingizi ndo Umeanza
kukunogea ANAKUAMSHA, "Baby mi nataka
niende, sasa UNANIACHAJE?" Unamuuliza, NAKU ACHAJE KIVIPI? "Naomba Hela ya Bajaji SINA HATA
SHILINGI"

Ukipata TYPE 1, Usikawie,MUOE...Thats a Woman who
can MULTIPLY YOUR WEALTH!
Ukipata TYPE 2 My Dear Kaza Moyo tu maana
Umejitakia Mwenyewe. Ukipata TYPE 3 hakikisha UMEAGA KWENU maana huwa Wanaenda kwa
Waganga kukuchawia ili usimuache, unashangaa
demu ukitaka kumuacha huwezi kumbe
alishakuwekea Kipande cha Nyama kwenye Papa
muda mrefu tu! WANAUME TUNA KAZI SANA!
 
Stunter ndugu yangu wewe inabid upewe ushushushu na magufuli maana kila cku unaibua mapya [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahah Nikipewa ushushushu sitofanya kazi yangu kwa amani hahah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Daah kazi kweli kweli. Napenda hizi threads. Habari zinazotugusa kweli kweli na tunachangia bila mihemuko ya siasa na kuganga njaa. Big up mleta hoja.
Shukrani sana mwana
 
Kwa kuwa namwandama hadi pm ngoja nipunguze mashambulizi huku na kuzidisha mashambulizi pm ambako huwezi fika wala kuona!
Sasa pasword zake ninazo, hapo unajidangaya, huwa naona kilakitu
 
Nimejaribu kusoma comments zote mpaka page ya 4 sijaona KE amechangia.Au kama wapo sidhani kama wanafika watatu.Kulikoni?
 
Jamani haya mambo hayajadiriki ni mungu tu anajua. ukipata mwanamke asiye pasua kichwa shukuru mungu. Kuna mengi Sana kwenye mahusiano Jamani ni siri yetu tu. kifupi ni kuwa mtu anampemda mwenzie baada ya kuona anatimiziwa anachopenda. Sasa kipi anapenda usiniulize. viko vingi. mtu anaweza anampenda boy kisa tu muongo muongo kwa hiyo anapenda uongo.
 
UNAKUTA MWINGINE TYPE 1 Ila anaswaka za TPE 3 hapo VIPI mkuu
 
Back
Top Bottom