tunaongelea uvumbuzi mzee naona unaleta hadithiUna taka kupewa historia au unataka nini ?
Gunduzi zote za kisayansi zimeleta mabadiliko, safari ya km 100 huwa inaanza na hatua moja. Hivyo ndivyo ilivyo.tunaongelea gunduzi ambazo zimebadilisha maisha haya tunayoishi sa ivi hii inayokupa jeuri ya kuongea pumba humu jamii forum
Una matatizo sio buretunaongelea uvumbuzi mzee naona unaleta hadithi
unajua jaribu kua muelewa, point yetu ya msingi hapa ilikua ni IQ, kama unasema watu fulani wana IQ ina maanisha tulitakiwa tuendelee kuona vumbuzi kuanzia kipindi hicho hadi sa iv, sasa swali langu hapa ni je? hivo vumbuzi ziliendelea au ziligota mana IQ si bado ipo au IQ ilikuja kuishia njiani?mana mnakuja kuleta apa hadithi za abunuasi kwamba wachina wanongoza kwa IQ haya mnaambiwa leteni vumbuzi walizotufanyia mnaleta sijui enzi za kupanda mangalawaDogo wewe ni mpumbavu.
Kwa hiyo
Printing
Paper
Gunpowder
Compass
Hazijabadili maisha ya leo ? Changamoto sana humu
Nimekupa vumbuzi umebaki kudemadema kama mjinga.unajua jaribu kua muelewa, point yetu ya msingi hapa ilikua ni IQ, kama unasema watu fulani wana IQ ina maanisha tulitakiwa tuendelee kuona vumbuzi kuanzia kipindi hicho hadi sa iv, sasa swali langu hapa ni je? hivo vumbuzi ziliendelea au ziligota mana IQ si bado ipo au IQ ilikuja kuishia njiani?mana mnakuja kuleta apa hadithi za abunuasi kwamba wachina wanongoza kwa IQ haya mnaambiwa leteni vumbuzi walizotufanyia mnaleta sijui enzi za kupanda mangalawa
gunduzi za wachina ziliishia wapi ziliendelea au ziligota njiani? nijibu.Gunduzi zote za kisayansi zimeleta mabadiliko, safari ya km 100 huwa inaanza na hatua moja. Hivyo ndivyo ilivyo.
Hata mwanadamu anazaliwa, anatambaa, anaaongea, anatembea hadi anakuwa mtu mzima, kuna gunduzi zisingefanyika leo hii kuna vitu visinge kuwepo kama hizi gunduzi zisingetokea.
Nakuuliza hizo gunduzi nazotaka kusikia ni zipi, Computer technology, robots, Artificial Intelligence au virtu gani?
Unajua China kuna kitu kinaitwa photovoltaic highway, barabara inakuwa solar, gari inatembea na wakati huo huo inachajiwa.tunaongelea uvumbuzi mzee naona unaleta hadithi
China hapo kila field anaongoza.Nimekupa vumbuzi umebaki kudemadema kama mjinga.
Ulitaka China igundue nini sasa ?
View attachment 2796646
Siku ya kwanza wanawavamiwa na HAMAS, walikuwa wameilaza hii Tech ?
Huyu mtu anataka kila kitu China igundue kitu ambacho hakiwezi kuwa.China hapo kila field anaongoza.
Hoja yako haiwezi pinga wataalamu na wasomi walisema nchi za Japan, South Korea, Singapore n.k wana IQ kubwa.unajua jaribu kua muelewa, point yetu ya msingi hapa ilikua ni IQ, kama unasema watu fulani wana IQ ina maanisha tulitakiwa tuendelee kuona vumbuzi kuanzia kipindi hicho hadi sa iv, sasa swali langu hapa ni je? hivo vumbuzi ziliendelea au ziligota mana IQ si bado ipo au IQ ilikuja kuishia njiani?mana mnakuja kuleta apa hadithi za abunuasi kwamba wachina wanongoza kwa IQ haya mnaambiwa leteni vumbuzi walizotufanyia mnaleta sijui enzi za kupanda mangalawa
Nimekupa vumbuzi umebaki kudemadema kama mjinga.
Ulitaka China igundue nini sasa ?
View attachment 2796646
Hoja yako haiwezi pinga wataalamu na wasomi walisema nchi za Japan, South Korea, Singapore n.k wana IQ kubwa.
Huwezi kupinga hilo, shida yako ulitaka Israel ndio wawe na IQ kubwa, kusoma udaktari, ukawa daktari bingwa uka focus na matibabu ya moyo kwa miaka 20, baadae ukiwa na experience ya kutosha ukafanya gunduzi ya kutibu moyo kwa njia rahisi na kupewa tuzo ya nobel haihusiani na kuwa na IQ kubwa, unaweza kuwa na IQ average kama jews uka focus kwenye elimu na ukafanya gunduzi kubwa.
Kwa sababu unaamka asubuhi unafanya kitu kimoja, wiki moja, mwezi, mwaka, miaka 10, miaka 15, miaka 20 unachimba kitu kimoja, lazima uwe master.
Chinese na Japanese IQ yao ni kubwa.
Mtu mwenye IQ akiamua ku focus, na akiwa interested ndio hayo unaona China kapata uhuru 1949 leo anaitishia USA kiuchumi.
South Korea leo wanatisha na tech zao za hatari,
Hao Israel wako wapi?
Ulitaka kusema nini ?
mzee mchina bado hajaikuta ulaya kwa technology bado, ila anapambana akikomaa zaidi ndo anaweza mpita kama ulaya wakizubaa, ila so far bado, mfano military bado anajifunzaHuyu mtu anataka kila kitu China igundue kitu ambacho hakiwezi kuwa.
Na kama ulivyosema mambo yanabadilika tofauti na awali hivyo teknolojia kuiona ni bora hatupaswi kudharau wafungua njia wa mwanzo maana hata hizi teknolojia bora sasa baadae zitaonekana dhaifu maana dunia inabadilika.
Leo China ina lead kila aina ya teknolojia ukigusa hapa duniani mtu asie mfuatiliaji atabisha na hizo ndizo IQ za hawa zinapo zungumziwa.
Ulitaka kusema nini ?
Teknolojia gani ?mzee mchina bado hajaikuta ulaya kwa technology bado, ila anapambana akikomaa zaidi ndo anaweza mpita kama ulaya wakizubaa, ila so far bado, mfano military bado anajifunza
Sema ulichotaka kusema. Nasubiri hapa
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa historia hakuna asiyemjua Napoleon Bonaparte, kazaliwa 1769 akafariki 1821. Huyu jamaa alikuwa mwanasiasa na commander wa jeshi la Ufaransa, amepigana vita vikubwa na akashinda.Huyu mtu anataka kila kitu China igundue kitu ambacho hakiwezi kuwa.
Na kama ulivyosema mambo yanabadilika tofauti na awali hivyo teknolojia kuiona ni bora hatupaswi kudharau wafungua njia wa mwanzo maana hata hizi teknolojia bora sasa baadae zitaonekana dhaifu maana dunia inabadilika.
Leo China ina lead kila aina ya teknolojia ukigusa hapa duniani mtu asie mfuatiliaji atabisha na hizo ndizo IQ za hawa zinapo zungumziwa.
Sijakataa wala sikupingi lakini hawana akili kuzidi wengine, hilo ndilo tunazungumzia.