Jionee mwenyewe jinsi teknolojia inayotumika Israel kuzuia makombora ilivyoboreshwa, akili iliyotumika kubuni huu mtambo si ya kawaida

Jionee mwenyewe jinsi teknolojia inayotumika Israel kuzuia makombora ilivyoboreshwa, akili iliyotumika kubuni huu mtambo si ya kawaida

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa historia hakuna asiyemjua Napoleon Bonaparte, kazaliwa 1769 akafariki 1821. Huyu jamaa alikuwa mwanasiasa na commander wa jeshi la Ufaransa, amepigana vita vikubwa na akashinda.

Huyu ndiye alileta mapinduzi makubwa katika organizations za kijeshi na mafunzo kwa ujumla, Falsafa zake hadi leo vyuo mbali mbali vya kijeshi wanajifunza.

Huyu jamaa alisema namnukuu "China is a sleeping giant, when she wakes she will shake the world" .

Kafa 1821, China inapata uhuru 1949, alichosema ndio hiki dunia inakiona sasa hivi, kweli kabisa.

Ndio maana nilimuambia huyu jamaa kuna watu wenye akili ambao wanaifahamu dunia, na wanajua ya mbeleni, kama huyo Napoleon, aliiona China mbali sana lakini walikuwa wamelala.
Imepita zaidi ya miaka 100 ndipo China inapata uhuru.
Upo sahihi sana. Tatizo kubwa ni mfumo wetu wa elimu upo influenced zaidi na mabwana zetu waliotutawala yale yaliyo nje na mabwana zetu kama hayo ya wachina wengi hawafahamu.

Bila juhudi binafsi za kufahamu historia ya dunia na mengi yalio nje ya mabwana zetu huwezi fahamu.

Mfano mfumo wetu wa elimu mpaka leo kwenye somo la historia haitambui kama wachina ndio jamii za mwanzo mwanzo kufika East Afrika na kufanya biashara na kuondoka lakini haya hayapo.

Ni mengi sana ya kuelimisha yapo nje ya mfumo wetu wa elimu kuliko yaliyopo ndani wanafunzi wanalishwa mengi makapi
 
mzee mchina bado hajaikuta ulaya kwa technology bado, ila anapambana akikomaa zaidi ndo anaweza mpita kama ulaya wakizubaa, ila so far bado, mfano military bado anajifunza
Kwa technology hapana, China ipo mbali kwa tech kuliko nchi moja moja za ulaya, ni bora ungeendelea na point yako ya gunduzi, kwa maana ukisema Ulaya ni bara na China ni nchi hakuna usawa hapo, lakini kwa nchi moja moja, hakuna kuzi pale ulaya anaikuta China hivi sasa, kwa sababu hata kiuchumi hakuna nchi inaikuta Japan ipo Ulaya , Ulaya anayeongoza kwa GDP ni Germany ana kama $3.8B, wakati China ina $14.72B karibu mara 4 yake... hivyo uwezo wa China kuwekeza kwenye tech, research and development wapo mbali...
 
Upo sahihi sana. Tatizo kubwa ni mfumo wetu wa elimu upo influenced zaidi na mabwana zetu waliotutawala yale yaliyo nje na mabwana zetu kama hayo ya wachina wengi hawafahamu.

Bila juhudi binafsi za kufahamu historia ya dunia na mengi yalio nje ya mabwana zetu huwezi fahamu.

Mfano mfumo wetu wa elimu mpaka leo kwenye somo la historia haitambui kama wachina ndio jamii za mwanzo mwanzo kufika East Afrika na kufanya biashara na kuondoka lakini haya hayapo.

Ni mengi sana ya kuelimisha yapo nje ya mfumo wetu wa elimu kuliko yaliyopo ndani wanafunzi wanalishwa mengi makapi
Always majority huwa wapo wrong, ni kama mbuzi au kondoo, unaipa majani inenepe, ikiwa inakula majani inaona umeipenda sana, kumbe unasubiri akinona unachinja.

Ndio hawa wanalishwa ujinga, lakini lengo ni kuwamaliza, ukisha mtawala mtu kifikra umemmaliza.


Aisee, Week End Njema mzee, ngoja nitoke nikapige mbili tatu hapo bar ya jirani, kwa maana najua leo pilau nyama ipo 🤣.

Mkuu May you have a prosperous Sunday!, spend this beautiful Sunday with family and friends.. Thanks...
 
Miungu ya kiarabu allah ina chuki kubwa sana kwa wayahudi na wakristo,dini ya kiislamu ni dini ya kishetani

Onyesha ni wapi uislamu unachukia wasio waislamu?

Uislamu unatutaka tupendane na sio kuchukiana, iwe kwa asiekua muislamu ama muislamu, wote tupendane
 
Onyesha ni wapi uislamu unachukia wasio waislamu?

Uislamu unatutaka tupendane na sio kuchukiana, iwe kwa asiekua muislamu ama muislamu, wote tupendane
Yaani mpaka mna sala maalumu ya kuwaombea mabaya wakristo,sasa hiyo dini yenu si ya kishetani!?
 
Back
Top Bottom