Jionee tofauti, Amisi Tambe wa Simba 2013 vs wa Yanga mwaka 2017

Hivi yanga lile bakuri lenu bado lipo coz niliwahurumia niliwachangia kajero
 
hahahha mimi huwa napenda sana hizi tambo za watani wa jadi,nakua nauona ule utanzania halisi watu tunataniana na kucheka pamoja.. [HASHTAG]#SIMBA[/HASHTAG] dam

Sent using Jamii Forums mobile app
 

ushaona chadema ana njaa za ajabu.
 
Kwan we unavyoona hata kama siku znaenda mbele wew unaweza ukawa unarudi nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahenga wa zamani walisema: Kichwa hakikondi wala hakinenepi

Kwa picha hii usemi huo umekuwa proved wrong.

Mhenga wa sasa (Makoye Matale) nasema: Kichwa hukonda na hunenepa.
 
Mbona unajiloanisha kwa mapavu? Au dawa imeingia penyewe? Tulia hivyo hivyo dose ikamilike
 
Acheni uchochezi! Tambwe hakuwa hivyo maana tangu amejiunga simba tupo na tunafuatilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…