Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
hhahaaha naona umehamasika mkuu, hapo unakula 50k kiroho safi unaenda kumfanyia usafi na kumlindia ofisi yake mpaka aje..Japo napenda kazi za online ila i’m not that cheap bruh! Spending time to post 50 products online and what you finally get is 30K a months? Atleast 500K ni commission nzuri kwa scale ndogo ya biashara! Makampuni ya kati yanalipa around 2M or More kwa Social Media Marketing na posts kwa mwezi hazifiki hata 50!
Kuhusu hio ya kufungua ofisi asubuhi whats the nature of the office? Ni biashara aina gani mzee? Nature yake kuna namna ya kupata genji au ndio unatoka mswaki from morning to evening?
af hakuna hata income ya maana, ukishatangaziwa na wale unaonekana tapeli tu haha..Hahahah anachukulia kitoto kucheza na photoshop kuremba tangazo wale wakuda tu wa insta Tangazo kupostiwa ni 10K-50K tena kwa masaa tu!
Nimetoka ku resign kazi ya mshahara 10X more sababu hesabu zangu zilikuwa hazikai! Kazi ambayo ya kufungiwa tu ndani more than 5 hours bila magenji siitaki! Unapiga hesabu ukitoa rent na kula kinachobakia hakitoshi hata nauli thru the months af mtu akufungie mahali 11 hrs!hhahaaha naona umehamasika mkuu, hapo unakula 50k kiroho safi unaenda kumfanyia usafi na kumlindia ofisi yake mpaka aje..
inaonekana uko vyema mkuu, mwaga hizo nondo hapa za financial freedom ila isiwe kama za ontario hahahaa..Nimetoka ku resign kazi ya mshahara 10X more sababu hesabu zangu zilikuwa hazikai! Kazi ambayo ya kufungiwa tu ndani more than 5 hours bila magenji siitaki
Ontario aliwaweza sana yule jamaa😂😂😂 mie sijaipata bado financial freedom ila natafta njia za kuipata nataka nianze kutembea mkoa kwa mkoainaonekana uko vyema mkuu, mwaga hizo nondo hapa za financial freedom ila isiwe kama za ontario hahahaa..
dah mambo ya ontario ni moto sana, asikwambie mtu nilitengeneza M kadhaa lakini nikaziyeyusha mwenyewe na madeni juu sahii sitaki hata kuskia hiyo habari..Ontario aliwaweza sana yule jamaa😂😂😂 mie sijaipata bado financial freedom ila natafta njia za kuipata nataka nianze kutembea mkoa kwa mkoa
Hahahah bora kufanya vitu Tangible tu kwa sasa! Hamna haja ya kuhangaika na vitu vya kufikirika kama hizo crypto sijui na bla blaa! Waache matajiri wachezee hela zao maana forex naona inawafaa matajiri tu!dah mambo ya ontario ni moto sana, asikwambie mtu nilitengeneza M kadhaa lakini nikaziyeyusha mwenyewe na madeni juu sahii sitaki hata kuskia hiyo habari..
yes yes kwasababu mtu mwenye kama B moja akifanya trading kwa lot size ya 20$ per pip account haiwezi kuwaka moto kabisaa....ila sisi ni shida tu....poa mkuu kila la kheri na sisi ngoja tupambane..Hahahah bora kufanya vitu Tangible tu kwa sasa! Hamna haja ya kuhangaika na vitu vya kufikirika kama hizo crypto sijui na bla blaa! Waache matajiri wachezee hela zao maana forex naona inawafaa matajiri tu!
Poa poa chief!yes yes kwasababu mtu mwenye kama B moja akifanya trading kwa lot size ya 20$ per pip account haiwezi kuwaka moto kabisaa....ila sisi ni shida tu....poa mkuu kila la kheri na sisi ngoja tupambane..
Mimi naweza ku make zaidi ya hiyo nikitimba tu kijiweni back town Ngarenaro nikakaa tu pale kupiga story.Hahahaha jamaa ameyumba sana! Kwa hali ya maisha ya sasa hata saidia fundi kwenye banda la kiepe analipwa zaidi ya buku 5 we umkalishe mtu siku nzima kwenye PC umpe buku! I can make more than that kwa kuwa winga tu Kariakoo!😂😂😂
Jamaa analipa buku kwa kiburi mingi sana😂Mimi naweza ku make zaidi ya hiyo nikitimba tu kijiweni back town Ngarenaro nikakaa tu pale kupiga story.
🤣 🤣 🤣 🤣 mtoa mada kala konaJamaa analipa buku kwa kiburi mingi sana😂
Hawezi kaa hapa kashakunya mezani🤣 🤣 🤣 🤣 mtoa mada kala kona
anakwambia ndo uwezo wake eti au anauza bambino kwa rejareja huko insta?!..Jamaa analipa buku kwa kiburi mingi sana😂
Ana utani na maisha ya mtu30 per month??
Are you serious??
Yaaan hata mhindi sio hivi[emoji848][emoji16]Ana utani na maisha ya mtu
Muhindi anakupa buku 5 hadi 7 ila sio mmatumbi huyu anaetaka akutie buku lako! Af anakwambia kesho uwahi kazini bwana.Yaaan hata mhindi sio hivi[emoji848][emoji16]
hahaahahaha mkuu hiyo si hela ya saluni kabisa kila mwezi?!.....shabikia fursa..30 per month??
Are you serious??