Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hii ni kweli kabisa maana ukiangalia kwanini Rostam anafuatana na samia kila anapokwenda Arabuni?
Rostam alipokuwa Canada alifanya vikao kadhaa na CIA ambao ndo wanamtumia kama key controller wao kusini mwa jangww la Sahara.
Mtu wa kunyongwa kwanza ni Rostam, Tanzania and in paticular tanganyika is tired of him!Rostam alipokuwa Canada alifanya vikao kadhaa na CIA ambao ndo wanamtumia kama key controller wao kusini mwa jangww la Sahara.
Aliporejea, akasawszisha kiungwana na Jiwe na wakamtengenezea ziara ya mwisho pale kiwanda cha ngozi Morogoro ambapo hata jammer haikuweza kutegua kati ya mtambo wa kudukua pacemaker na vyuma vya kiwanda......
Sasa baada ya kumuingiza mkenge mazeri, na anajua hili litavuja basi ameleta hii hoja ya utetezi kuwa kuhusika kwake ni kwa nia njema.
Code hii ikezingatia torati yote na manabii
Familia yake waliiba matokeo ya mtihani ya mwanafunzi mwenzake (jina nahifadhi) enzi za Sekondari akapewa yeye......Mtu wa kunyongwa kwanza ni Rostam, Tanzania and in paticular tanganyika is tired of him!
Kumbe ana roho ya wizi?Familia yake waliiba matokeo ya mtihani ya mwanafunzi mwenzake (jina nahifadhi) enzi za Sekondari akapewa yeye......
Alianzia mbali sana wizi
Rostam, huyu jamaa huyu. Ukimuona mahali fumba macho maana milango hufunguka yenyewe..Rostam alipokuwa Canada alifanya vikao kadhaa na CIA ambao ndo wanamtumia kama key controller wao kusini mwa jangww la Sahara.
Aliporejea, akasawszisha kiungwana na Jiwe na wakamtengenezea ziara ya mwisho pale kiwanda cha ngozi Morogoro ambapo hata jammer haikuweza kutegua kati ya mtambo wa kudukua pacemaker na vyuma vya kiwanda......
Sasa baada ya kumuingiza mkenge mazeri, na anajua hili litavuja basi ameleta hii hoja ya utetezi kuwa kuhusika kwake ni kwa nia njema.
Code hii ikezingatia torati yote na manabii
Hivi manyoka wa Tz kazi yao ni nini kulinda maccm? Kwanini wasimwondoe huyu mpuuzi?Mtu wa kunyongwa kwanza ni Rostam, Tanzania and in paticular tanganyika is tired of him!
Kwamba anajiendea vyake?Kama mchoro ndio huo hapo Bas amekwisha!
Haponi mtu hapo!
Tumia akili!
Wengine tulipoanza kuona yule bwana mara kaenda kuzindua sijui taifa gas tukajua kwisha habari yake.Rostam alipokuwa Canada alifanya vikao kadhaa na CIA ambao ndo wanamtumia kama key controller wao kusini mwa jangww la Sahara.
Aliporejea, akasawszisha kiungwana na Jiwe na wakamtengenezea ziara ya mwisho pale kiwanda cha ngozi Morogoro ambapo hata jammer haikuweza kutegua kati ya mtambo wa kudukua pacemaker na vyuma vya kiwanda......
Sasa baada ya kumuingiza mkenge mazeri, na anajua hili litavuja basi ameleta hii hoja ya utetezi kuwa kuhusika kwake ni kwa nia njema.
Code hii ikezingatia torati yote na manabii
Hunter Biden anachunguzwa kwa deal chafu kama hizi; huku kwetu ukihoji unaambiwa unasukumwa na udini.Ile Solar ya M7 kidogo inaeleweka kwa wepesi kuliko hii nzito ya Bandari nzima kwa urithi wa watoto!
Sijui kama wale jamaa watavumilia wale!Kwamba anajiendea vyake?