Shinbet18
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 255
- 263
Hi jf.
Nimepata mualiko kutoka Kwa classmate wangu anaoa amenitumia tiketi tangu juzi amesisitiza nifike kwenye harusi yake.
Baada ya harusi nitamsisitiza angalau nikaone hilo kabila linalokaribisha wageni Kwa kuwapa utamu wageni nawaahidi nitapiga selfie siku nikiondoka Namibia.
Goodbye for awhile my fellow Tanzanians[emoji120]
Nimepata mualiko kutoka Kwa classmate wangu anaoa amenitumia tiketi tangu juzi amesisitiza nifike kwenye harusi yake.
Baada ya harusi nitamsisitiza angalau nikaone hilo kabila linalokaribisha wageni Kwa kuwapa utamu wageni nawaahidi nitapiga selfie siku nikiondoka Namibia.
Goodbye for awhile my fellow Tanzanians[emoji120]