Jioni Moja na Bibi Titi miaka ya 1980

Jioni Moja na Bibi Titi miaka ya 1980

kwenye mitandao ya kijamii nchi hii ukizungumza ukwel au uzuri wa waislam au uislam katika kuijenga nchi yao hii basi utaambiwa mdini na utatukandwa.kwani waislam wao hawastahili au sio raia wa nchi hii jamani.tuwe wenye kuvumiliana katika jamii zetu...

sawa...kuna mtu mmoja anauliza, kwanini mada nyingi za mleta mada zinahusu waislam wa pwani pekee?...ina maana nchi imejengwa na waislam wa pwani tu?, waislam wa mkoa mengine hawakuhusika ktk harakati za kuijenga nchi?.
 
sawa...kuna mtu mmoja anauliza, kwanini mada nyingi za mleta mada zinahusu waislam wa pwani pekee?...ina maana nchi imejengwa na waislam wa pwani tu?, waislam wa mkoa mengine hawakuhusika ktk harakati za kuijenga nchi?.
Smarte,
Nimeandika kitabu: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) the Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika," (1998).

Kitabu hiki kimeeleza historia ya mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Nimeeleza historia ya nchi nzima.
Hapa JF tafuta majina haya yatakupeleka kwa Waislam waliokuwa majimboni waliopigania uhuru mfano wa Ali Migeyo, Salum Mpunga, Sheikh Yusuf Badi, Sheikh Abdallah Rashid Sembe, Ali Msham, Yusuf Olotu, Haruna Taratibu, Saadan Abdu Kandoro, Sharifa bint Mzee, Halima Selengia, Amina Kinabo, Mama bint Mwalimu, Nyange bint Chande, Zarula bint Abdulrahman kwa kuwataja wachache.
 
Back
Top Bottom