Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za Tutuo mkuu?Jipatie asali bora kutoka Sikonge Tabora kwa bei poa....
Lita 1 = 10,000/= tuu.....
Lita 5 = 45,000/= tuu.....
Tunapatikana Dar na Tabora....
Mikoa mingine tunatuma pia....
Kwa mawasiliano tucheki 0686222463.....
Jipatie asali bora kutoka Sikonge Tabora kwa bei poa....
Lita 1 = 10,000/= tuu.....
Lita 5 = 45,000/= tuu.....
Tunapatikana Dar na Tabora....
Mikoa mingine tunatuma pia....
Kwa mawasiliano tucheki 0686222463.....
Duh!![emoji57][emoji42] Achana na hi kitu kabisa,Jamaica ina soko hatariiiiii,wanaume wa dar matatizo,ndio maana tabora pakaitwa Toronto pale Ni level ingine,wanatoa Toronto to Jamaica,asali ile hawalishi kanisa wanapeleka ma mbaliiiiii huko mafyegede fyegede kwa bob-marley,hawachezi na visoko vya mwanjelwa,kariakoooo ukuzi,peleka mambele fikishia Trump alambe kidogo kabla hajazinguliwa na Iran,kanyaga kwa mama malkia Elizabeth huoni mjukuu wake mwenyewe kaamua maisha ya gheto kakacha ushuani geti Kali Mara ndichi ndichi hakuna kutembea mmoko mmoko babake,kitu ichooooook kwa Bob land(Jamaica)kinapokelewa na machalii snoop dog,zig Marley,ufunguzi mzee kiduku anatimba[emoji89][emoji86]
Ukishavuta bangi zako huwa inakuwa ni Chereko tena na usumbufu wa hali ya juu hasa ukizivuta na kuja JF![emoji57][emoji42] Achana na hi kitu kabisa,Jamaica ina soko hatariiiiii,wanaume wa dar matatizo,ndio maana tabora pakaitwa Toronto pale Ni level ingine,wanatoa Toronto to Jamaica,asali ile hawalishi kanisa wanapeleka ma mbaliiiiii huko mafyegede fyegede kwa bob-marley,hawachezi na visoko vya mwanjelwa,kariakoooo ukuzi,peleka mambele fikishia Trump alambe kidogo kabla hajazinguliwa na Iran,kanyaga kwa mama malkia Elizabeth huoni mjukuu wake mwenyewe kaamua maisha ya gheto kakacha ushuani geti Kali Mara ndichi ndichi hakuna kutembea mmoko mmoko babake,kitu ichooooook kwa Bob land(Jamaica)kinapokelewa na machalii snoop dog,zig Marley,ufunguzi mzee kiduku anatimba[emoji89][emoji86]
Jee unayo ya nyuki wadogo?Heri ya mwaka mpya wakuu, baada ya sikukuu kuisha sasa tumerudi kazini.
Jipatie asali bora kutoka Sikonge Tabora kwa bei poa....
Lita 1 = 10,000/= tuu.....
Lita 5 = 45,000/= tuu.....
Tunapatikana Dar na Tabora....
Mikoa mingine tunatuma pia....
Kwa mawasiliano tucheki 0686222463.....
Tutuo,ipole,mkolye,kama napaona kitambo sana maeneo yale