hujaniambia ubora wake upoje wala warrantyenye free channel ipo l
kampuni ya digital bei 450,000
then inashika channel zip za ndani?yenye free channel ipo l
kampuni ya digital bei 450,000
free channel zandan isipokua cloudsthen inashika channel zip za ndani?
thnx ngoja nijichange hakika ntakua mteja wako.free channel zandan isipokua clouds
smart ipo tcl samsung zipo za kawaida azm tv 159,000Bwana mfaume
Samsung smart tv inch 32 bei gai??
Kingamuzi cha azam bei yake pia tafadhal..
Hyo smart ya tcl bei gan inch 32smart ipo tcl samsung zipo za kawaida azm tv 159,000
Weka bei
[emoji23][emoji23][emoji23]Katika maisha yako umeshawahi kuona Tv fake???
samsung 550,000 na tcl 520,000 kwa ubora tcl ni nzuri pia haina tofauti na smsung lg na sony tcl zaman ilijulikana kam hitachiHyo smart ya tcl bei gan inch 32
Hyo samsung ya kawaida inch 32 bei gani??
Kwenye ubora vip kati ya hizo mbili samsung na tcl...??
Million 43..???!!kwasasa ipo 43, 920,000
boss nch 49 smart bei 1,100,000samsung 550,000 na tcl 520,000 kwa ubora tcl ni nzuri pia haina tofauti na smsung lg na sony tcl zaman ilijulikana kam hitachi
kwasasa ipo nchi 43 bei 920,000 umeelewaMillion 43..???!!
Mkuu mbona umepandisha bei nimeona kwenye nyuzi za october kuwa uliandika tcl inch 32 n 480ksamsung 550,000 na tcl 520,000 kwa ubora tcl ni nzuri pia haina tofauti na smsung lg na sony tcl zaman ilijulikana kam hitachi
sio kuwa napandisha bei lahasha ila bei zinabadilika kila wakati mangi afu tcl smart zilikua hazipatikan na waliokua na stock waliuza hadi 600k njoo hautarudi na pesa hom utapata tv japo tcl huwez kupata kwa bei hiyo labda upate zilizo toka kwa fundi refubrishMkuu mbona umepandisha bei nimeona kwenye nyuzi za october kuwa uliandika tcl inch 32 n 480k
[emoji106]kwasasa ipo nchi 43 bei 920,000 umeelewa
Ninataka boofer za aboder au sea piano shingapi?boss nch 49 smart bei 1,100,000
zipo aina nyingi mangi watss 300 hadi 1000 sony na lg labda unambie unataka ipi au soma bandiko za mwanzo zipo zote nimepostHome theater zipo za aina gn na bei yke