Amani mfaume
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 3,275
- 1,412
- Thread starter
- #2,021
njoo na 195,000 nikupe uhamishe majirani na kufunga mtaaNinataka boofer za aboder au sea piano shingapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njoo na 195,000 nikupe uhamishe majirani na kufunga mtaaNinataka boofer za aboder au sea piano shingapi?
Hio sitaki nitapewa notice na mwenye nyumba.njoo na 195,000 nikupe uhamishe majirani na kufunga mtaa
Ndogo kidogo isiyozidi 100knjoo na 195,000 nikupe uhamishe majirani na kufunga mtaa
Sasa mfaumesio kuwa napandisha bei lahasha ila bei zinabadilika kila wakati mangi afu tcl smart zilikua hazipatikan na waliokua na stock waliuza hadi 600k njoo hautarudi na pesa hom utapata tv japo tcl huwez kupata kwa bei hiyo labda upate zilizo toka kwa fundi refubrish
Njoo na 500,000 kamili nikupe bei ya ofa mangi ila ndio ukisubiri zipande tena itakua hela imenishinda mimiSasa mfaume
Ebu niambie bei ya mwisho hyo tcl smart unaniuzia bei gan??
ipo 95000 tu njoo ujipatieNdogo kidogo isiyozidi 100k
azania bank kwenye ghorofa la simba ndio location rahisi kwa mgeni ukifika ila kwa mwenyeji wa kariakoo fika hadi ddc pale ukinijulisha tu takufata bila wasi kama sio mimi hata alieko shop karibu ujipatie bidhaa bora zisizo na maulizoDuka lipo mtaa gani
Basi inshaaaalah week hii ntakutafutaNjoo na 500,000 kamili nikupe bei ya ofa mangi ila ndio ukisubiri zipande tena itakua hela imenishinda mimi
mkuu namba zote zipo mwanzo hapo kuanzia ya watsapp hadi zakawaida zipo ofa ndio kama hiyo nimekupa mkuu azam dish takupunguzia 5000 karibu sanaBasi inshaaaalah week hii ntakutafuta
Weka namba basi mkuu ili iwe rahisi kuwasiliana.
Bwana mfaume fanya offer basi nichukue na azam kingamuzi
karibu sana mangiSawa
Aina gani ina bluetooth?ipo 95000 tu njoo ujipatie
Usisahau na kapichaipo 95000 tu njoo ujipatie
hamna mangiUna portable AC BTU 12000 au zaidi?
Sitaki air cooler nataka AC.
hili swali hujanijibu kakafeni ya kwenye dari panga ndogo bei gani . picha na brandi zenye uko nazo