INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

BL440 Kenwood Blender 500W - 1.5L White
Key Features
  • Size (cm):19 x 23 x 39 cm
  • Wattage:500W
  • Weight:3.1kg
  • Body material😛lastic
  • Colour:White
  • Guarantee:Yes
  • Price 145,000
 
Mkuu naomba naweza pata power supplier ya Zec 32''. Flat screen??? Na kwa bei gan?
 
chief huoni daily tuna post bidhaa mpya
ulitaka tufanyaje [A] Tuache kupost Tubdili style ya uandishi huenda imekuchosha [C[ Tufungue blog yetu
😦
Edelea tu mzee huyo sijui kama hata anaelewa kinachoendelea
 
Ggc-180 gas cooker - 2 bunners black
ey Features
  • No of Burners: 2 Burner
  • Auto ignition
  • Tempered glass
  • Stylish,‎ efficient and durable
  • Easy to clean
  • Price 95,000
 
Fc-56 ceiling fan - 16" white
Key Features
  • Size: 16 inches
  • Timer
  • 3 Blades
  • Highest power: 70W-100W
  • Speed gear: 5-speed
  • Control type: Wall switch
  • Price 95,000
 
Samsung UA55NU7300KXXS UHD 4K Curved Smart TV NU7300 Series 7 - 55" BlackView attachment 1109248
Key Features
  • 55" UHD 4K Curved Smart TV NU7300 Series 7
  • UA55NU7300KXXS
  • Real 4K Resolution
  • HDR 10+
  • Elegantly Curved
  • Price 2,800,000
Kiongozi nipe uzoefu wako! Kama nimekupata, ni kwamba upo Unguja! Sasa je, mzigo kama huo ukishuka pale bandarini (Dar), TRA hawakung'ang'anii kodi ya ziada kutokana na yale madai kwamba, Zenji kodi ni ndogo na kwahiyo vitu kutoka Zenj vikiingia bara, inabidi ikatwe ile tofauti ya kodi kama ambavyo mzigo ungekuja directly kutoka ng'ambo hadi bara.

Halafu tv yenye specs kama hizo but 50" ni bei gani?

Swali langu la pili, linahusu mafriji ya bei poa! Kwa uzoefu, brand ipi ni bora kati ya Boss na Beko?
 
sisi tupo dsm chief nasio Unguja tupo kariakoo DDC hapa swala la TRA nadhani nikufata taratibu tu zilizo rasmi na sio vingine na sisi huwa tunanunua mzigo kwa ma suplier wa kampuni husika

Swala la mafriji kuhusu brand huwa kila mtu ana brand anayo ipenda berko na Boss naona ni sawa tu tofauti jina
 
sisi tupo dsm chief nasio Unguja tupo kariakoo DDC
Good news, labda nilikuchanganya na mtu mwingine; lakini hujanijibu suali kuhusu tv yenye specs sawa na hizo lakini 50". I mean, hiyo 55" ni 2.8, vp ya 50"? Au hamna 50" yenye specs na kila kitu kama hiyo; kv curved, 4K (ingawaje kwa Bongo 4K ni mbwembwe tu), same series, etc.
 
Zina sifa gani nizitafute? Napenda sana mziki mzuri
Generally, Sony ni bonge la radio, labda kwavile mimi ni old school! Nilinunua Sony Radio mwaka 2006 (ingawaje bei yake ilikuwa imechangamka sana) lakini hadi leo ipo! Sema ndo vile tena, nilikuwa nimesafiri kwa muda mrefu sana kuliko nilivyokuwa nimetarajia na niliporudi nikakuta limejaa mavumbi na hivyo kuathiri disc tray! Lakini kama leo nakuta Sony kama ile, hata ikiwa 1M+, nachukua manake kipindi kile ilikuwa 700K. Kwenye hizi nyumba zetu za Uswahilini, ilikuwa nikifungua hadi mwisho, basi kaa na fagio kabisa la kufagia matakataka na mende yatakayodondoka kutoka juu baada ya kushindwa kuhimili mtikisiko! Ukikaa hivi, unashtukia masufuria ambayo yalikaa kwenye kingo yanadondoka bila kutaka!
 
Umasema yote mkuu!
 
LH512D LG Tv – 32” Black

Key Features
  • Screen Size: 32"
  • Screen Type: LED
  • Screen Resolution: 1366 x 768px
  • Connectivity: USB, HDMI
  • Power Supply: AC100-240V 50/60Hz
  • Price 490,000
Mkuu nchi 42 ni sh ngap, LG nahtaji sana hii mambo, alafu mbna kuna wakat unakuta picha zinakuwa hafifu, hazionyeshi picha clear shida inakuwa ni nn? Au ni camera za station ndo tatzo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…