INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

nataka printer zinazo print t shirt.
 

Attachments

  • anajet_sprint-250x250.jpg
    5.3 KB · Views: 84
Bosi, Umesema Soni wako juu, Hebu tueleze sisi Wasukuma wa kuja , Kwanini Zipo bei juu? Ubora wake ukoje ? Has a katika equality ya picha? Maana nimeona hapo juu umetaja screen za inchi 32 Bei zikiwa tofauti tofauti bila ya bei ya juu ili kuwa son I, Sasa
 
 
Sony wame jibrand vizuri swala la ubora wa bidhaa zao hautofautian na bidhaa nyingine zenye majina makubwa ila sony hawana copy za bidhaa zao ukilinganisha na bidhaa nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Amani mfaume naulizia kama mnazo external disc ya 1TB.

Aina gani mnazo na bei ni kiasi gani.

Thanks.
 
Sony hawa jamaa kwa kibongo bongo bidhaa zao ni imara sana binafsi nawakubali sana mimi mpaka mswaki natumia wa Sony![emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…