INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Aina gani mkuu
hizi sahv hakuna boss ilikua na kampuni moja yakichina ilikua haina brand name walicho kua wanafanya wanaweka stika za kampuni yyt japo zilikua nzuri chukua SONY ujakika zaidi
 
Meza kam ii mnayo? Ni sh ngap?
 

Attachments

  • IMG-20170910-WA0004.jpg
    39.1 KB · Views: 99
  • IMG-20170910-WA0006.jpg
    36.4 KB · Views: 101
Unaweka maji ya kawaida tu au lazima yawe ya baridi ..pili utumiaji wa umeme ukoje tatu Tcl inch 32 smart sh ngapi mkuu.
maji unaweka yakawaida umeme inatumia kama wa feni yakawaida tcl smart bei 520,000
 
Mkuu zile hair dryer ndogo za nyumbani bado unazo? Na shs ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…