Amani mfaume
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 3,275
- 1,412
- Thread starter
- #321
Kiki na stasta bossni ya swich or kiki, hiyo 2.5 ni masaa mangapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiki na stasta bossni ya swich or kiki, hiyo 2.5 ni masaa mangapi
![]()
![]()
Price 400,000
Unakuja kuchukua au unaletewaNakitaka niwe naweka tubia twanguu ..aipungui!?
Zipo bei ndogo laki nakumi laki na elfu tisiniIsiyo na Bluetooth?
Hakuna kinacho shindikana tuna tuma popote Tanzania wewe tu una point sisi tuna kutumia iwe Mbeya sumbawanga au wapi kama unakua hujiamini unamtumia mtu unae mjua yuko dar unamtumia ela yy ndio anatupa sisi tunatuma ila kutumiwa tunatuma popoteNimependa kweli jamaa uko vizuri. Mimi lazima ninunue sema nipo Mbeya yani mngekuwa na mawakala huku kwetu ningeenda hata kesho
Tunatuma popote juzi nimetuma mzigo bariadi mkuuAisee bidhaa zaenu very cheap kama ni kweli hata huku mwanza tutaanza kuagiza vitu huko kwenu.
Mkuu TV za mtumba zipo ipa zinakuwa model ya zaman kwhy hatudili nazo, computer usede unaweza kupata
Hii ina Bluetooth mkuu![]()
Home theater lg new model 2017
Watt 400
Price 380,000
NdioHii ina Bluetooth mkuu
Huwezi pata kama inayo ifikiria mkuu lbd nikupe akili ya ziada nunua tcl mpya og utaifurahia sana
Mkuu kwakweli nilitaka hyo sumsung, sina hakika hzo nyingine kama zina ubora kama Samsung, offer yangu ni laki tano so kama hailipi wacha nitafute tafute zaidi nitakapopata ya kuongezea nitakustua man.Ndio mkuu
Kumwelewesha mtu mwenye majibu tayari n tabu Samsung km hy hata kwa laki nne ila ila usifikiri ndio hy unayo dhan mkuu sahv soko uria usisite kuuliza nilikufahamisha post ya juuMkuu kwakweli nilitaka hyo sumsung, sina hakika hzo nyingine kama zina ubora kama Samsung, offer yangu ni laki tano so kama hailipi wacha nitafute tafute zaidi nitakapopata ya kuongezea nitakustua man.
Lakisita mkuuLaptop
RAM at least 4GB
PROCESSOR at least 2.0 GHz either Duo Core, Core i3, or core i7
HDD at least 3200GB
Screen size 13"