Amani mfaume
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 3,275
- 1,412
- Thread starter
- #3,861
0672852415 piga au tucheki WhatsApp tumalizeNimeiangalia Google mbona hakuna model kama hiyo mkuu labda unipigie picha box lake pembeni huwa wanaandika Model!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0672852415 piga au tucheki WhatsApp tumalizeNimeiangalia Google mbona hakuna model kama hiyo mkuu labda unipigie picha box lake pembeni huwa wanaandika Model!.
Ntaipataje hiyo boss
Wewe tu tupigie sim BossNtaipataje hiyo boss
Kuna Iphone 6 plus yenye Ram 4GB kweli mbona kama upotoshaji huu.
Boss hivi hii Model inaweza ikawa na DvB-TKuna Iphone 6 plus yenye Ram 4GB kweli mbona kama upotoshaji huu.
Hio inayo mkuu, ni Android TV ya TCLBoss hivi hii Model inaweza ikawa na DvB-T
TCL LED32S6500S
Kwa Mikoa ya Kanda ya Kati hivi Mtu unaweza pata Free to Air Television mkuu sehemu kama Dodoma au Singida.Hio inayo mkuu, ni Android TV ya TCL
Hapo sina hakika mkuu ila watu wa Dar naona wanakula maisha.Kwa Mikoa ya Kanda ya Kati hivi Mtu unaweza pata Free to Air Television mkuu sehemu kama Dodoma au Singida.
Na vipi durabity yake hizi TV mkuu na ubora.Hapo sina hakika mkuu ila watu wa Dar naona wanakula maisha.
Kwanini usipate?Kwa Mikoa ya Kanda ya Kati hivi Mtu unaweza pata Free to Air Television mkuu sehemu kama Dodoma au Singida.
Unahitaji kilo ngapi chifuMkuu vipi washing mashine mnazo bei zake outo kiasi gani na manual kiasi gani? Asante
Uhimara na ubora kwa bidhaa kama TV ukifata taratibu za utunzaji tuNa vipi durabity yake hizi TV mkuu na ubora.
Kuna iPhone nyingi za Kichina,hata hiyo Samsung S8 hiyo bei nina walakini nayo sana kuhusu Originality ya Simu.Kuna Iphone 6 plus yenye Ram 4GB kweli mbona kama upotoshaji huu.
Bei gani hii bossZimeingia nyingiView attachment 1185976
450,000Bei gani hii boss