Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

Jipatie bidhaa mbalimbali kupitia kwenye minada yetu moja kwa moja kutoka Japan

Nipemuda kidogo

Nashauri kila unachoweka ambatanisha na bei kuliko kuweka picha tupu tu biashara haiendi hivyo.

Jaribu kuonesha kuwa sio mgeni wa biashara kila kitu ufundishwe unapoteza muda for nothing bro...!

Weka picha weka na bei simple like that kuondoa usumbufu wa kuulizana bei kila dakika.

Mfano mzuri angalia eBay, Alibaba, aliexpress etc.

Kila la heri ndugu...!
 
MzaramoTz, p
Niwazo zuri sana ila kuna changamoto nyingi sana kuweka bei ya manunuzi usafiri pamoja na ushuru Kuna vitengo vingi vinashirikishwa kupata bei kamili ya mzigo

Kumbuka Ebay Aliexpress na mitandao mingine umeitaja hapa wanaweka F.O.B na currency ya USD sio kazi sana wanasafirisha vifurushi kwanjia ya ndege bei zake kwa kilo zinajulikana.

1.Sisi tunatumia currency ya Shilling
2. Bei sio Manunui tu pamoja Usafiri na Ushuru
3 Pesa yetu inashuka thamani kwa USD
4.Ushuru unachajiwa kwa USD
5. Hatusafirishi vifurushi pekeyake kuna mizigo ya kupakia kwenye Container

Kwasabu hizo naomba ushirikiano wenu kulingana na Mazingira ya mambo yote niliyoyataja.
 
Niwazo zuri sana ila kuna changamoto nyingi sana kuweka bei ya manunuzi usafiri pamoja na ushuru Kuna vitengo vingi vinashirikishwa kupata bei kamili ya mzigo

Kumbuka Ebay Aliexpress na mitandao mingine umeitaja hapa wanaweka F.O.B na currency ya USD sio kazi sana wanasafirisha vifurushi kwanjia ya ndege bei zake kwa kilo zinajulikana.

1.Sisi tunatumia currency ya Shilling
2. Bei sio Manunui tu pamoja Usafiri na Ushuru
3 Pesa yetu inashuka thamani kwa USD
4.Ushuru unachajiwa kwa USD
5. Hatusafirishi vifurushi peke yake kuna mizigo ya kupakia kwenye Container

Kwasabu hizo naomba ushirikiano wenu kulingana na Mazingira ya mambo yote niliyoyataja.

Daaaaah ngoja wajuzi wa mambo watakuja kukupa muongozo aisee...!

Nakutakia kila la heri.
 
Boss kama kuna Vespa iliyo kwenye mnada weka picha yake niione.
 
Niwazo zuri sana ila kuna changamoto nyingi sana kuweka bei ya manunuzi usafiri pamoja na ushuru Kuna vitengo vingi vinashirikishwa kupata bei kamili ya mzigo

Kumbuka Ebay Aliexpress na mitandao mingine umeitaja hapa wanaweka F.O.B na currency ya USD sio kazi sana wanasafirisha vifurushi kwanjia ya ndege bei zake kwa kilo zinajulikana.

1.Sisi tunatumia currency ya Shilling
2. Bei sio Manunui tu pamoja Usafiri na Ushuru
3 Pesa yetu inashuka thamani kwa USD
4.Ushuru unachajiwa kwa USD
5. Hatusafirishi vifurushi pekeyake kuna mizigo ya kupakia kwenye Container

Kwasabu hizo naomba ushirikiano wenu kulingana na Mazingira ya mambo yote niliyoyataja.
Mimi nasubiri upost Honda Xr250(md30) usisahau na bei yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu namba ulizoweka zinatumika WhatsApp?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye website kuna namba ya Japan ya whatspp pia kwenye bidhaa kuna sehemu ya kuchati na Muuzaji unaweza kutuma offa yako kwa muzaji akikubali utapokea email yenye ujumbe wakukubali offa yako ukaktaliwa utapokea ujumbe pia wa kukataliwa.offa yako.
 
Kwenye website kuna namba ya Japan ya whatspp pia kwenye bidhaa kuna sehemu ya kuchati na Muuzaji unaweza kutuma offa yako kwa muzaji akikubali utapokea email yenye ujumbe wakukubali offa yako ukaktaliwa utapokea ujumbe pia wa kukataliwa.offa yako.
Bidhaa ninazohitaji hazipo kwenye website. Nahitaji namba ili nimtumie picha angalie kama anaweza akazipata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bidhaa ninazohitaji hazipo kwenye website. Nahitaji namba ili nimtumie picha angalie kama anaweza akazipata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna namba ya Whatspp hapo kwenye webite pia kuna Forum kwenye website ukitumia njia ya Forum selllers wote wataona bidhaa unayoitafuta watakujibu fasta ukitumia whatspp ataona moja itabidi a-forward kwa sellers wote
 
Nyie mna kazi kweli. Sidhani kama mnapata wateja Tanzania maana concept yenu ya biashara haieleweki. Hizi feeds za minada na bidhaa mnazoposti sijui mnatoa yahoo.co.jp au sijui wapi, lkn it all leaves a lot to be desired.
 
Nyie mna kazi kweli. Sidhani kama mnapata wateja Tanzania maana concept yenu ya biashara haieleweki. Hizi feeds za minada na bidhaa mnazoposti sijui mnatoa yahoo.co.jp au sijui wapi, lkn it all leaves a lot to be desired.
Kule kwenye Web yao bado sana kunahitajika userious. Kuna vitu 18 tu. Nimetuma meseji kwa Customer care wao kwa namba ya Japan kasoma hajajibu.

Nimepiga kwa namba ya Voda Tanzania haijapokelewa, wala hawajali kunitafuta.

Mimi nataka mashine nianze tena mambo ya minada. Badala waweke bei nione kama naimudu. Wangecopy alibaba tu watafanya biashara sababu wana vitu genuine vya Japan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mna kazi kweli. Sidhani kama mnapata wateja Tanzania maana concept yenu ya biashara haieleweki. Hizi feeds za minada na bidhaa mnazoposti sijui mnatoa yahoo.co.jp au sijui wapi, lkn it all leaves a lot to be desired.
Hoja yako nini sijakuelewa bidhaa inaweza kutoka USS, JU, OYAMA ,AAA yahoo as long as ni member wa hizo actions na bidhaa ikiwa ndani ya Japan

Sijakuelewa vizuri hoja yako labda ungetoa ushauri concept gani inakuchanganya ifanyiwe maboresho badala ya kuongea jumla jumla.

Nfumo tunaoutumia nifumo wa minada wakawaida sana una options tatu
1.Ku-bid
2.Kutuma offa
3.Kununua moja kwa moja

Nfumo wa pili niwa Live streaming bado hatujaanza kutumika kwenye hii line yetu ya Dar

Ebu niambie kitugani kisicho heleweka tukiboreshe unatakiwa kusoma na kuelewa vizuri tuelimishane
 
pachanya,
Mkuu hapo umechanganya mambo angalia vizuri kwenye hiyo site
kuna bidhaa ziko kwenye
I.Category
2.Location
3.Advanced Search
Bidhaa ziko nyingi sana Seller anaweza kua-upload items kwakutumia Category au Location uki Search utapata items zote zilizopo.

Wanaendelea ku-upload na kuboresha makosa madogo madogo kama yatabainika kwanfano kuna bidhaa zaina moja kama plug ukingalia vizuri kwenye picha kuna plug nne lakini kuna quantity wingi wa plug alizonazo Seller zaidi ya 1000 lakini kwenye webite inasomeka kama item moja.

1.Kuhusu kutuma msg kumbuka nimekuambia ukitumia forum kwenye bidhaa ambazo haziko kwenye webite utajibiwa mapema kuliko kutuma ujumbe kwenye watspp Customer care sio Seller atakachokifanya ata forward hio meseji kwa sellers
2. Kumbuka tunatofauti ya masaa tena mengi kati ya Japan na Tanania ukituma ujumbe mida ya saa saba mchana kwa huku ningumu msana mtu kukujibu kule sio muda wa kazi. ni usiku.
3. Kutumia nfumo kama wa Alibaba lazima kuwe na sababu zaidi ya ulizozitaja.hapa
4.Kama umepiga simu bila kupokelewa inawezekana watu walikua wameisha ondoka offisin jumatatu utajibiwa mapema bosi wangu ila maswali ya bidhaa au mashine wanatakiwa kujibu waliko Japan sisi ni wasambazi wa mizigo na mambo ya ushuru baada ya mizigo kufika.
5. Kuhusu mambo ya minada sio lazima ku-bid au kutuma ofa kwenye website yetu kuna option ya Bay now kama kuna baadhi ya items hazina options hizo basi kesho nitalifikisha mkuu lazima options zote ziliopo kwenye website zifanye kazi ilikuondoa usumbufu.
Maoni yenu yote yatafanyiwa kazi ndani ya masaa ahsante kwa maoni yenu .
 
Makampuni ya ukandalasi na taasisi zenye msamaha wa kodi pamoja na vifaa vya kilimo watalipia garama F.O.B na garama za usafiri tu Ingia kwenye website yetu kwenye
1. My Account
2.Personal Information
3.Jaza Shipping Info
4.Profile Description: weka na website yako kama unayo
5.Profile Avatar weka log ya kampuni yako au Taasisi kama unayo
Utakua umejiunga kwenye group la C.I.F (Garama za manunuzi na Usafiri.
 
Back
Top Bottom