mmewadadako
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 534
- 844
okay mkuuOngeza picha kwa kila kona itapendeza.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Huyo hana shida ya haraka , Mwenye shida ya haraka hua anauza miliona tano kushuka chini-Kiwanja kipo Kimara Temboni kwa Abas umbali wa km 2 kutoka Morogoro road
-Kina ukubwa wa sqm 700
-Barabara zinapitika vizuri
-Huduma za maji na umeme zipo
-Mazingira jirani(neighborhood) ni rafiki na ya kuvutia
BEI; mil 17
MAWASILIANO: 0765 494 548
NOTE: Muhusika ana shida ya haraka hivyo maongezi kidogo yapo.View attachment 1605755View attachment 1605756
Huyo hana shida ya haraka , Mwenye shida ya haraka hua anauza miliona tano kushuka chini
Sema ww ni dalali kwa hiyo lazima uvutie kwako, najua ukikutana na mwenyewe unaopoa kwa bei ya mbuzi tuuhahaaa boss lazima kuwe na utofauti kati ya mwenye shida ya haraka anaemiliki kiwanja chanika na anaemiliki Kimara..
Unaemzungumzia wewe ni mwenye shida ya haraka wa Chanika
cheki hio nmekuwekea bei elekezi kwa msaada zaidi bossSema ww ni dalali kwa hiyo lazima uvutie kwako, najua ukikutana na mwenyewe unaopoa kwa bei ya mbuzi tuu
Hiyo bei ni kubwa sana kwa plain surface