Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,161
Mkuu hayo makitu ya leather nyeusi flani hivi yanapatikana kwa pesa ngapi????
hizi zote utazipata tena katika ubora wa uhakika na 1 year warrant
Asante kushukuru[emoji106]natoa shukrani kwa wale wote mliofika ofisin kwang mkaona kaz zangu na mkazinunua na wengine mkatoa mapendekezo yenu yaani jinsi mnavyotaka sofa zenu ziwe (fashion). naamin nimezitengeneza sofa zenu kwanama na ubora mlioutaka, asanteni sana na karibuni tena. creativity, innovation and quality are our priority..
Yaani angekuwa anaweka picha na price yake chiniUngeziwekea bei ingependeza zaidi mkuu
Bujibuji hajawahi ona mbusi amepaka wanja mbado atii..duu na hiyo ming'ao imekaa kishari shari mmhhDuh...
hizo design, hapana kwa kweli
Kwann mkuu mbn yanapendeza?
umesikika kiongozi na asante kwa ushauri wako.Yaani angekuwa anaweka picha na price yake chini
conflict of interest,sio kwa hasira hizi...Huu upumbavu wa kuandika bei alafu unasema maelewano yapo siupendi yaani haieleweki dalali yupi mfanyabiashara yupi,
Kwan ukiandika 750,000haipungui kuna shida gani,
Kuliko kuandika 960,000 alafu unakuja kuuza laki saba, mbadilike!
inawezekana kabisa kiongozi, iwe cha watu watatu, wawili (love site) na hata cha mtu mmoja, bei zetu ni kulingana na aina ya sofa unayoitaka. karibuKwa mfano mim nahitaj kiti kimoja cha watu watatu naweza kupataa? Na kwa bei gani?
hizi zote ni tsh 900,000 kwa seti nzimaYaani angekuwa anaweka picha na price yake chini
hizi ni 800,000 kwa setiYaani angekuwa anaweka picha na price yake chini
hizi ni tsh 750,000 kwa setiYaani angekuwa anaweka picha na price yake chini
nazani nimekujibu tayari kiongozi,Mkuu hayo makitu ya leather nyeusi flani hivi yanapatikana kwa pesa ngapi????
Hata mie labda kwa wengineKwann mkuu mbn yanapendeza?
asante ndg na nimeshaufanyia kazi ushauri wako.Ungeziwekea bei ingependeza zaidi mkuu
hizi ni tsh 2200,000 kwa setiUngeziwekea bei ingependeza zaidi mkuu
Una dinning table??asante ndg na nimeshaufanyia kazi ushauri wako.