INAUZWA Jipatie mzigo mpya(SOFA SETS)

Mkuu laki mbili ipo kama ukiafiki nikutafute lakini pia sijui kama naweza kuchagua rangi itakayoendana na sofa zangu nikutumie picha fasta
nitafute ktk 0621038229 na 0679670906, na picha nitumie ktk 0784133449 nitumie hiyo picha ya sofa yako ili nione aina ya hiko kitambaa then ndo ntajua km nitaweza kutengeneza kwa bei hiyo
 
nataka kama hio jinsi ilivo but 2 siter 2 bei gani
 

Attachments

  • g.jpeg
    56.5 KB · Views: 165
  • g.jpeg
    56.5 KB · Views: 131
Asante. Kazi Zako Ni Nzuri. Dodoma mna ofisi mkuu?
 
Kumbe ni ya kienyeji mi nilijua yale ya kutoka kunako
 
hooooo!, kweli ndugu nimekosea kidogo hapo, ilitakiwa niweke 1700,000 na sio hiyo 170,000 niliyoiweka, samahan na asante kwa kunirekebisha
Hesabu hukusoma ukaelewa
1300,000 [emoji777] = 1,300,000[emoji736]
1700,000 [emoji777] = 1,700,000[emoji736]
 
Mkuu bei ya kochi moja ni bei gani maana umetaja bei seti tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…