Mkuu laki mbili ipo kama ukiafiki nikutafute lakini pia sijui kama naweza kuchagua rangi itakayoendana na sofa zangu nikutumie picha fastahiko ni tsh laki mbili na nusu (250,000) ndugu
nitafute ktk 0621038229 na 0679670906, na picha nitumie ktk 0784133449 nitumie hiyo picha ya sofa yako ili nione aina ya hiko kitambaa then ndo ntajua km nitaweza kutengeneza kwa bei hiyoMkuu laki mbili ipo kama ukiafiki nikutafute lakini pia sijui kama naweza kuchagua rangi itakayoendana na sofa zangu nikutumie picha fasta
unialike nije kukalia sofaMkuu laki mbili ipo kama ukiafiki nikutafute lakini pia sijui kama naweza kuchagua rangi itakayoendana na sofa zangu nikutumie picha fasta
hahahahaaaa! hasipokualika ntakualika mimi ofisini kwangu uje ukalie utakayoipenda.unialike nije kukalia sofa
Asante. Kazi Zako Ni Nzuri. Dodoma mna ofisi mkuu?jipatie sofa set kwa bei nafuu zaidi katika ofisi zetu zilizopo Mtoni mtongani na Tabata Dar west Dar es salaam. pia tunafanya repair sofa za aina yoyote, tunauza moja, mawili au set nzima kulingana na mahitaji yako. utapata list na warrant ya mwaka mmoja. pia ukitaka vitanda na makabati vinapatikana katika office zetu za Keko.
tsh 960,000 kwa set pamoja na usafiri popote ndani ya dar es salaam pia maelewano yapo, na kwa walio nje ya dsm tutaelewana kutokan na umbali
CONTACTS:
+255784133449/
+255621038229.
eliusmoris2@gmail.com
kwahyo tunatengeneza za watu wawili mbili tu?nataka kama hio jinsi ilivo but 2 siter 2 bei gani
hapana ndugu, bado ofisi zetu hatujazitanua mpaka hukoAsante. Kazi Zako Ni Nzuri. Dodoma mna ofisi mkuu?
yale ya kuagiza ni ghari sana na si imara km haya ya huku na pia yakipata tatizo no ngumu kuyarepairKumbe ni ya kienyeji mi nilijua yale ya kutoka kunako
Una maneno wewe.....unialike nije kukalia sofa
nitakalia kiungo gani exactly?Una maneno wewe.....
Labda uje unikali miye
Kiunoni ni kuzuri zaidinitakalia kiungo gani exactly?
hutonichoma? au sofa zitasaidiaKiunoni ni kuzuri zaidi
Utanogewa sanahutonichoma? au sofa zitasaidia
basi nakujaUtanogewa sana
Hesabu hukusoma ukaelewahooooo!, kweli ndugu nimekosea kidogo hapo, ilitakiwa niweke 1700,000 na sio hiyo 170,000 niliyoiweka, samahan na asante kwa kunirekebisha
Sie tunataka mzigo na tumemwelewaHesabu hukusoma ukaelewa
1300,000 [emoji777] = 1,300,000[emoji736]
1700,000 [emoji777] = 1,700,000[emoji736]