INAUZWA Jipatie mzigo mpya(SOFA SETS)

mpo vizuri aiseee ..nikipata nauli ntakuja ieeeeeee
 
Huu upumbavu wa kuandika bei alafu unasema maelewano yapo siupendi yaani haieleweki dalali yupi mfanyabiashara yupi,

Kwan ukiandika 750,000haipungui kuna shida gani,

Kuliko kuandika 960,000 alafu unakuja kuuza laki saba, mbadilike!
tatizo binadam hawajazoea utaratibu huo Wa bei fixed. ndo maana super market zipo kwenu nyie wachache mnsotaka bei fixed, local market mtuachie sisi hapo maelewano hats Mimi naweza miliki sofa ya 150000
 
Hesabu hukusoma ukaelewa
1300,000 [emoji777] = 1,300,000[emoji736]
1700,000 [emoji777] = 1,700,000[emoji736]
Wingi wa nyumbu kama hawa ndo wanaoifanya Tanzania kubaki gizani mpaka leo

Wao wapo kwaajili ya makwazo tuu
 
pia kwa sasa tuna makabati ya nguo na vyombo, yapo ya milango miwili ila kama utahitaji ya milango mitatu na kuendelea tutakutengenezea
kwa tsh 420,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…