Mkuu kwani bei ni Siri?
Pole zako...basi nakuja
hapana, bei zetu sio siri diomaana ukisoma mwanzo mwa tangazo langu nimeweka na bei kabisaMkuu kwani bei ni Siri?
asante sana na karibuGood work
bidhaa zetu zinapatikana Dar es salaam maeneo ofisj zetu zilipo ni Mtoni mtongan, Tabata dar west na kekoJe bidhaa hizi zinapatikana wapi?
tunauza tsh laki nne (400,000)Kabati la vyombo la milango miwili unauzaje?
ok ndugu, japo leo sikuwepo ofisini wakati ulipokuja ila naamini vijana wangu walikuudumia vizuri ndugu, karibu sana ndugu.
Kaka hii ndio nimeikubali, nimemuona jamaa ameniambia 900grand, kwahiyo najipanga kaka.
From 0714403119
Yaani fresh sana, wako poa sana kwa kweli hadi nimeondoka nimeridhika.ok ndugu, japo leo sikuwepo ofisini wakati ulipokuja ila naamini vijana wangu walikuudumia vizuri ndugu, karibu sana ndugu.
OK! ndugu nashukuru kwa pongezi zako kwani siku zote huwa tunapenda kuwa na good customer care sababu tunajua wazi licha ya ubunifi na ubora katka kazi zetu ila lugha nzuri ni msingi mkubwa katka biashara.Yaani fresh sana, wako poa sana kwa kweli hadi nimeondoka nimeridhika.
kwa ktambaa cha leather high quantity ni tsh laki sabanaomba kujua bei ya kama hii . ziwe kochi mbili 2 seater na nyingine 3 seater
hii pia laki 7naomba bei ya kama hii
hii ni laki 8 kiongozinaomba bei
Kwa tusioweza kuomba punguzo bongo tunabambikwa sanaHuu upumbavu wa kuandika bei alafu unasema maelewano yapo siupendi yaani haieleweki dalali yupi mfanyabiashara yupi,
Kwan ukiandika 750,000haipungui kuna shida gani,
Kuliko kuandika 960,000 alafu unakuja kuuza laki saba, mbadilike!
hahahahaaa, kiongozi si wenyewe hatupendi ila mfumo wenyewe wa hizi biashara zetu ndio unatulazimu na sisi kwenda hivyo, ila we husijari ndugu biashara ni mapatano tu hivyo hii inakupa na wewe room ya kutoa bei yako unayohisi unaweza kuimudu kwa bidhaa husikaKwa tusioweza kuomba punguzo bongo tunabambikwa sana