CompilerZeCoder
Member
- Oct 27, 2015
- 30
- 9
So zote n bei sawa si ndio??Hapa poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So zote n bei sawa si ndio??Hapa poa
zipi hizo kiongozi, nimeweka picha na bei zake katika kila kundi nililoweka nimetaja na bei pia.So zote n bei sawa si ndio??
Una dinning table??
asante na karibuni sanaZimetulia kinoma
Hongera sana chief
Asante mkuu ngojea nijichange ntakuonanazani nimekujibu tayari kiongozi,
kwa kawaida flame ya sofa utengenezwa kwa mbao za surplus sababu ya uzito kwani ukiweka mtondoo au mninga sofa linakua zito sana, ila kama we utataka uwekewe mbao yeyote sio tatizo, sisi tunakuhudumia kulingana na upendavyo, karibu sanaVizuri, unatumia mbao gani kuunda?
karibu sana nduguAsante mkuu ngojea nijichange ntakuona
170,000 kweli au umekosea kuweka 0 moja hapo?hizi ni 170,000![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
what do you think170,000 kweli au umekosea kuweka 0 moja hapo?
Looks awesome and expensivewhat do you think
kizuri ghari ndugu, unfortunately bei yake imepanda kwa sasa sababu malighafi kwe ziko juu sasa siku hizi,Looks awesome, and expensive
Sorry, namaanisha kimuonekano zinaonekana kama. Expensive but bei yake iko chini, hv zinakuwa ni seti ngapi?kizuri ghari ndugu, unfortunately bei yake imepanda kwa sasa sababu malighafi kwe ziko juu sasa siku hizi,
hooooo!, kweli ndugu nimekosea kidogo hapo, ilitakiwa niweke 1700,000 na sio hiyo 170,000 niliyoiweka, samahan na asante kwa kunirekebisha170,000 kweli au umekosea kuweka 0 moja hapo?
wala hujakosea kiongozi, ila maelewano ninayoyazungumzia apo ni ya aina nyingi, hizo bei nilizoweka hapo ni za pamoja na usafir, hivyo kama mteja akiwa na usafiri wake au anaishi jirani na eneo office ilipo ni lazima bei ishuke, pia mda mwengine mteja haitaji seti nzima bali anahitaji viwili au vitatu hivyo na hapo pia ni lazima pawe na maelewano na mwisho kabisa wateja wengi ukiwatajia bei yako kabisa mf: 890,000 kwa seti, yeye ataomba umpunguzie na husipompunguzia hata 10,000 basi ujue hatanunua uyo, hivyo sisi tunafanya biashara kulingana na mfumo wa uuzaji ulivyo, i mean wateja ndo wanaotulazimisha tuuze hivi.
asante kiongozi, unajua. katika biashara tunakutana na wateja wa aina na akili tofauti hivyo changamoto wanazotupa ndio zinatufanya tunakomaa ktk masuala ya customer careMajibu mazuri sana na ya kistaarabu kabisa. Na huo ndio ukomavu wa kifikra na kibiashara pia.
Hongera
nilikosea ktk uandishi wa bei,Sorry, namaanisha kimuonekano zinaonekana kama. Expensive but bei yake iko chini, hv zinakuwa ni seti ngapi?