INAUZWA Jipatie mzigo mpya(SOFA SETS)

INAUZWA Jipatie mzigo mpya(SOFA SETS)

na hata kama una picha au fashion ya jinsi ambavyo ungependa sofa lako liwe, tuma humu au katika whatsap no yangu 0784133449 au call katika 0621038229/ 0784133449 nitakutajia bei yake na nitakushauri pia ili upate kilicho bora na hata ukitaka nije kuitazama sofa uitakayo nitakuja pia,
tunakuthamini na tunakupa kilicho bora zaidi, asante
 
Una dinning table??
2a3fa1a2d6962eaac061567f677938dc.jpg
7e8efb0467b8a88857d323bc135a2dfe.jpg
zipo kiongozi hata bed seti tunazo pia, sisi no mafundi na wauzaji wa furniture kwa ujumla, katika ofisi yetu ya utengenezaji keko tuna kila kitu. karibu mkuu
 
Vizuri, unatumia mbao gani kuunda?
kwa kawaida flame ya sofa utengenezwa kwa mbao za surplus sababu ya uzito kwani ukiweka mtondoo au mninga sofa linakua zito sana, ila kama we utataka uwekewe mbao yeyote sio tatizo, sisi tunakuhudumia kulingana na upendavyo, karibu sana
 
wala hujakosea kiongozi, ila maelewano ninayoyazungumzia apo ni ya aina nyingi, hizo bei nilizoweka hapo ni za pamoja na usafir, hivyo kama mteja akiwa na usafiri wake au anaishi jirani na eneo office ilipo ni lazima bei ishuke, pia mda mwengine mteja haitaji seti nzima bali anahitaji viwili au vitatu hivyo na hapo pia ni lazima pawe na maelewano na mwisho kabisa wateja wengi ukiwatajia bei yako kabisa mf: 890,000 kwa seti, yeye ataomba umpunguzie na husipompunguzia hata 10,000 basi ujue hatanunua uyo, hivyo sisi tunafanya biashara kulingana na mfumo wa uuzaji ulivyo, i mean wateja ndo wanaotulazimisha tuuze hivi.

Majibu mazuri sana na ya kistaarabu kabisa. Na huo ndio ukomavu wa kifikra na kibiashara pia.
Hongera
 
Majibu mazuri sana na ya kistaarabu kabisa. Na huo ndio ukomavu wa kifikra na kibiashara pia.
Hongera
asante kiongozi, unajua. katika biashara tunakutana na wateja wa aina na akili tofauti hivyo changamoto wanazotupa ndio zinatufanya tunakomaa ktk masuala ya customer care
 
Sorry, namaanisha kimuonekano zinaonekana kama. Expensive but bei yake iko chini, hv zinakuwa ni seti ngapi?
nilikosea ktk uandishi wa bei,
kuhusu idadi ya site, kwa kawaida set ya sofa huwa na sit 7 yani la watu watatu 1, la wawili 1 na la mmoja mmoja mawili hiyo ndio seti
 
Back
Top Bottom