Hodi JF!
Naomba kutanguliza Salaam kwa wana JF wote. Mimi ni mwanachama mpya wa jukwaa hili maarufu. Naomba kuuliza swali, hivi katika kitabu hiki cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere alimtaja mwanasiasa fulani aliyejiuzulu baadae kwa kashfa kuwa hafai kuwa kiongozi? Kama ni kweli, ni mwanasiasa gani huyu na Nyerere alimtaja wapi kwenye kitabu chake? Naomba kuwasilisha.
Fareed
Naomba kutanguliza Salaam kwa wana JF wote. Mimi ni mwanachama mpya wa jukwaa hili maarufu. Naomba kuuliza swali, hivi katika kitabu hiki cha Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere alimtaja mwanasiasa fulani aliyejiuzulu baadae kwa kashfa kuwa hafai kuwa kiongozi? Kama ni kweli, ni mwanasiasa gani huyu na Nyerere alimtaja wapi kwenye kitabu chake? Naomba kuwasilisha.
Fareed