Jipatie Nakala yako: Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania by Nyerere

Jipatie Nakala yako: Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania by Nyerere

- Acha matusi, Malecela na Mwalimu wote walikuwa na wake sasa una maana mke wa nani aliyechangiwa kwa sababu si inaeleweka yupi ambaye siku zote alikua na tatizo mwenziwe, kama umeishiwa hoja tulia mkuu achia wengine walionazo.



- Alikuwa ni Rais Mwinyi, mwaka 1990.

Es!

Matatizo binafsi uliyosema ambayo si ya kisiasa kati ya wawili hawa ni yepi basi?
 
Lakini kwenye post yako Na.126 umesema Nyerere aliendelea kutawala kwa pembeni baada ya kutoka madarakani. Maana yake ni kwamba alihusika pia katika kumteua Malecela. Rudia kusoma post yako tena.

- Mkuu mbona unalazimisha hoja, Mwinyi alimuondoa Warioba aliyechomekwa kwenye Umakamu wa Rais from nowhere na kumuweka Malecela, toka ile siku Mwinyi alipoteza amani yake ya uongozi maana alichokoza nyuki, na ndio kwa mara ya kwanza likazuka kundi lenye nguvu za ajabu sana yaani G55, ndugu yangu usiombe kujua yote yaliyotokea behind the scene toka ile siku maana ilikuwa balaa
!

Es!
 
- Mkuu mbona unalazimisha hoja, Mwinyi alimuondoa Warioba aliyechomekwa kwenye Umakamu wa Rais from nowhere na kumuweka Malecela, toka ile siku Mwinyi alipoteza amani yake ya uongozi maana alichokoza nyuki, na ndio kwa mara ya kwanza likazuka kundi lenye nguvu za ajabu sana yaani G55, ndugu yangu usiombe kujua yote yaliyotokea behind the scene toka ile siku maana ilikuwa balaa!

Es!

Kuamini bila kujua, hapana. Hili ndilo tatizo kubwa ambalo limesababisha matatizo katika uongozi wa nchi yetu wakati wa uchaguzi. Sasa watu wahitaji kujua na kuhoji bila kuacha shaka yoyote kabla ya kuamini.
 
Kuamini bila kujua, hapana. Hili ndilo tatizo kubwa ambalo limesababisha matatizo katika uongozi wa nchi yetu wakati wa uchaguzi. Sasa watu wahitaji kujua na kuhoji bila kuacha shaka yoyote kabla ya kuamini.

- It takes kitabu kujibu kitabu, subira yavuta heri, kuna siku kutakua na the otherside ya hizi historia. Ila kwa wengine tuna-enjoy the idea hata ya kuweza kujibu maana ingekwua enzi zile si unajua saa hizi ningekua wapi! Thank God kwamba sasa tuko huru! ingawa ndio hivyo uhuru wa kuingia kwa majina ya bandia lakini sio kama kutokuwa nao kabisa!

Es!
 
- It takes kitabu kujibu kitabu, subira yavuta heri, kuna siku kutakua na the otherside ya hizi historia. Ila kwa wengine tuna-enjoy the idea hata ya kuweza kujibu maana ingekwua enzi zile si unajua saa hizi ningekua wapi! Thank God kwamba sasa tuko huru! ingawa ndio hivyo uhuru wa kuingia kwa majina ya bandia lakini sio kama kutokuwa nao kabisa!

Es!

Mkuu nakubaliana na wewe kabisa, maana kama asemayo huyu hapo chini yana ukweli basi majina bandia yamesaidia ila safari bado ni ndefu
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=AwkCgwc7VW4"]YouTube- "CCM WANITISHIA MAISHA" PASTOR FAUSTIN MUNISHI ON FACE BOOK[/ame]
 
FMES said:
Tizama baada ya Malecela kuhama ndani ya nyumba ya Waziri Mkuu kutokana na hiki kitabu, Kasaka walipewa uwaziri wengine u-RC, lakini waulize wanaojua ile nyumba ya Waziri Mkuu aliyotoka Malecela alihamia nani? Hapo ndipo utashangaaa sana mkuu maana ni aibu hata kusema jina la aliyehamia! Nisemeeeeee?

FMES,

..najua nani alihamia pale Oysterbay kwenye yaliyokuwa makazi ya Waziri Mkuu baada ya Malecela. lakini sababu nilizoelezwa mimi ni kwamba alihamia pale kwa muda wakati nyumba yake ikifanyiwa ukarabati.

..naomba usimtaje, kwasababu ukifanya hivyo utakuwa unamuonea tu, na kuharibu mjadala huu.
 
- Mkuu mbona unalazimisha hoja, Mwinyi alimuondoa Warioba aliyechomekwa kwenye Umakamu wa Rais from nowhere na kumuweka Malecela, toka ile siku Mwinyi alipoteza amani yake ya uongozi maana alichokoza nyuki, na ndio kwa mara ya kwanza likazuka kundi lenye nguvu za ajabu sana yaani G55, ndugu yangu usiombe kujua yote yaliyotokea behind the scene toka ile siku maana ilikuwa balaa!

Es!

Mwinyi hakumuondoa Warioba kwenye uwaziri mkuu. Ni kweli kuwa Joseph Warioba aliupata uwaziri mkuu Novemba 1985 baada ya masaa kadhaa baada ya kumkabidhi Mwinyi katiba ya nchi.

Warioba aliendelea na uwaziri mkuu hadi mwishoni mwa 1990 na nchi nzima ikaingia kwenye uchaguzi. Hivyo Warioba alimaliza ngwe ya kwanza ya Rais Mwinyi na yeye akaenda kugombea ubunge jimbo la Bunda ambako yeye alipambana na Stephen Wasira wote kwa ticket ya CCM kwani bado ilikuwa ni kipindi cha chama kimoja.

Uchaguzi wa mwaka 1990 ulimalizika, Warioba akamshinda Wasira kwenye ubunge wa Bunda. Mwinyi akamchagua tena Warioba kuwa waziri mkuu. Hivyo kama ingeendelea vile basi Warioba angemaliza ngwe ya pili ya Mwinyi iliyoisha mwaka 1995.

Kilichotokea na wasichokikumbuka wengi ni kwamba mara baada ya uchaguzi wa mwaka 1990 na mara baada ya kuchaguliwa Warioba kwa mara ya pili kuwa waziri mkuu, Stephen Wasira akafungua kesi kulalamikia uchaguzi wa Bunda.

Sikumbuki vizuri mwenendo wa kesi lakini moja ya malalamiko yaliyokubaliwa hata na majaji ni kwamba iweje waziri mkuu aende kwenye kampeni akisindikizwa na msululu wa vimulimuli na mapikipiki. Je hii ni haki. Jaji mmoja aliuliza "hayo mapikipiki alikuwa anapelekewa nani" kwenye kampeni ya uchaguzi.

Hivyo Wasira akashinda kesi ile, matokeo a Bunda yakabatilishwa na hivyo Warioba asingeweza kukanyaga bungeni kwani hakuwa mbunge na jimbo la Bunda likawa wazi.

Kwa maana hiyo na uwaziri mkuu ukapotea. Ndipo hapo Mwinyi ikabidi azibe nafasi ya Warioba kwa kumteua John Malecela. Hivyo hilo ndilo sakata zima la Warioba kuukosa uwaziri mkuu.

Kuna wakati Stephen Wasira aliwahi kuulizwa kama wanasalimiana na Warioba lakini kwani ndiye hasa chanzo cha kuupoteza uwaziri mkuu.

Nadhani maelezo haya yanaweka sawa historia.
 
Mwinyi hakumuondoa Warioba kwenye uwaziri mkuu. Ni kweli kuwa Joseph Warioba aliupata uwaziri mkuu Novemba 1985 baada ya masaa kadhaa baada ya kumkabidhi Mwinyi katiba ya nchi.

Warioba aliendelea na uwaziri mkuu hadi mwishoni mwa 1990 na nchi nzima ikaingia kwenye uchaguzi. Hivyo Warioba alimaliza ngwe ya kwanza ya Rais Mwinyi na yeye akaenda kugombea ubunge jimbo la Bunda ambako yeye alipambana na Stephen Wasira wote kwa ticket ya CCM kwani bado ilikuwa ni kipindi cha chama kimoja.

Uchaguzi wa mwaka 1990 ulimalizika, Warioba akamshinda Wasira kwenye ubunge wa Bunda. Mwinyi akamchagua tena Warioba kuwa waziri mkuu. Hivyo kama ingeendelea vile basi Warioba angemaliza ngwe ya pili ya Mwinyi iliyoisha mwaka 1995.

Kilichotokea na wasichokikumbuka wengi ni kwamba mara baada ya uchaguzi wa mwaka 1990 na mara baada ya kuchaguliwa Warioba kwa mara ya pili kuwa waziri mkuu, Stephen Wasira akafungua kesi kulalamikia uchaguzi wa Bunda.

Sikumbuki vizuri mwenendo wa kesi lakini moja ya malalamiko yaliyokubaliwa hata na majaji ni kwamba iweje waziri mkuu aende kwenye kampeni akisindikizwa na msululu wa vimulimuli na mapikipiki. Je hii ni haki. Jaji mmoja aliuliza "hayo mapikipiki alikuwa anapelekewa nani" kwenye kampeni ya uchaguzi.

Hivyo Wasira akashinda kesi ile, matokeo a Bunda yakabatilishwa na hivyo Warioba asingeweza kukanyaga bungeni kwani hakuwa mbunge na jimbo la Bunda likawa wazi.

Kwa maana hiyo na uwaziri mkuu ukapotea. Ndipo hapo Mwinyi ikabidi azibe nafasi ya Warioba kwa kumteua John Malecela. Hivyo hilo ndilo sakata zima la Warioba kuukosa uwaziri mkuu.

Kuna wakati Stephen Wasira aliwahi kuulizwa kama wanasalimiana na Warioba lakini kwani ndiye hasa chanzo cha kuupoteza uwaziri mkuu.

Nadhani maelezo haya yanaweka sawa historia.

- Mkuu acha hizi huu ni uongo either wa makusudi au kutokuelewa, Mwinyi hakumtaka Warioba toka day one kuwa Waziri Mkuu, lakini alilazimishwa kwa hiyo akawa anatafuta upenyo wa kumng'oa ili aweke anayemtaka yeye, siku moja akamng'oa waziri wake wa nje ambaye naye alilazimishwa kumkubali kwa nguvu ndio akamuweka Diria, and then akamng'oa Apiyo na kumuingiza Rupia.

- Katika haya mabadiliko Diria became a very powerful man na the only way to Mwinyi, ni Diria na wenzake ndio walioanza kumshawishi Mwinyi kumng'oa Warioba, mwanzoni aliogopa lakini eventually akawasikiliza na kumtema, tena mkuu alipomtema alimpa uwaziri wa serikali za mitaa kama ulikuwa hujui ambapo Waziri wake alitakiwa kuishi Dodoma, Malecela akarudi toka London na kushika nafasi, ndipo mashambulizi ya ajabu dhidi ya Mwinyi na Malecela yalipoanza, na kuishia mpaka hivi vitabu vya abunuwasi.

- Mkuu tulikuwepo, nilikuwepo Dodoma wakati Warioba anakuja kushika uwaziri wa serikali za mitaa, kwa hiyo hiyo habari yako hapo juu either ni uongo wa makusudi au wa kutkueleewa, halafu mbona unajaribu sana kuandika upya historia vipi kuna nini hasa mkuu?


FMEs!
 
FMES,
Kama kuna mtu alimlazimisha Mwinyi kumchukua Warioba kama waziri mkuu alikuwa ni Salim.
Selection ya Mwalimu kwa waziri mkuu alikuwa ni Mkapa. Wakati huo Salim alikuwa NY na aliposikia hivyo akafunga safari wangu wangu kurudi Bongo kuhakikisha Mwinyi hamchukui Mkapa.Salim akapendekeza Warioba. I know this for certain from a close source to Salim, na hata Salim akiulizwa hivi leo hatasuta ukweli huu.
 
- It takes kitabu kujibu kitabu, subira yavuta heri, kuna siku kutakua na the otherside ya hizi historia. Ila kwa wengine tuna-enjoy the idea hata ya kuweza kujibu maana ingekwua enzi zile si unajua saa hizi ningekua wapi! Thank God kwamba sasa tuko huru! ingawa ndio hivyo uhuru wa kuingia kwa majina ya bandia lakini sio kama kutokuwa nao kabisa!

Es!
FMES,
Hata kama Mwinyi ataandika kitabu hivi sasa kujibu shutuma za Mwalimu hakitakuwa na mshiko au effect kama angekiandika 1994 au 1995 baada ya kustaafu. Timing is everything.
 
FMES,
Kama kuna mtu alimlazimisha Mwinyi kumchukua Warioba kama waziri mkuu alikuwa ni Salim.
Selection ya Mwalimu kwa waziri mkuu alikuwa ni Mkapa. Wakati huo Salim alikuwa NY na aliposikia hivyo akafunga safari wangu wangu kurudi Bongo kuhakikisha Mwinyi hamchukui Mkapa.Salim akapendekeza Warioba. I know this for certain from a close source to Salim, na hata Salim akiulizwa hivi leo hatasuta ukweli huu.

Kwani nini Salim hakumtaka Mkapa au ndio mambo ya Americanus?
 
hatujafikia download 500 bado!! Nimejitolea katika wazimu wangu kuedit toleo jipya la kijitabu hicho katika mwanga wa matukio yaliyojiri katika taifa letu kuanzia 1994 hadi sasa. Kitakuwa kama commentary hivi.
 
FMES,
Hata kama Mwinyi ataandika kitabu hivi sasa kujibu shutuma za Mwalimu hakitakuwa na mshiko au effect kama angekiandika 1994 au 1995 baada ya kustaafu. Timing is everything.
Je, kinachotakiwa ni Mwinyi kuandika kitabu au kauli na matendo yake baada ya kitabu kutoka. Ninachokumbuka ni kwamba kitabu kilipotoka Nyerere alimpelekea moja kwa moja kabla Nyerere hajaongea na waandishi wa habari. Uzinduzi wa kitabu ulifanyika jioni Msasani wakati asubuhi Nyerere alishamkabidhi Mwinyi kitabu hiki.

Sababu ya Nyerere kumkabidhi kwanza Mwinyi ni kwamba hakutaka Rais Mwinyi ajue kupitia magazetini kwamba Mwalimu amezindua kitabu japo naamini serikali nzima ilijua mwenendo mzima wa kitabu tangu kinatungwa.

Nirudi kwenye point kwamba kwa nini Mwinyi asingeweza kuandika kitabu. Siku mbili baada ya kuzinduliwa kitabu hiki Mwinyi kwa kauli yake mwenyewe alisema "Ninashukuru Tanzania tuna Rais mstaafu anayeshauri kwa njia ya vikao na kwa njia ya vitabu".

Kwa mana hiyo alikubaliana na kilichomo kwenye kitabu cha Nyerere. Na si kukubaliana tu na kushukuru kama alivyotamka mwenyewe.

Tofauti na Jumbe ambaye yeye hakutoa kauli yoyote tangu kutamkwa kuchafuka hali ya hewa Zanzibar hadi na yeye alipotoa kitabu chake cha the Patnership.
 
FMES,
Kama kuna mtu alimlazimisha Mwinyi kumchukua Warioba kama waziri mkuu alikuwa ni Salim.
Selection ya Mwalimu kwa waziri mkuu alikuwa ni Mkapa. Wakati huo Salim alikuwa NY na aliposikia hivyo akafunga safari wangu wangu kurudi Bongo kuhakikisha Mwinyi hamchukui Mkapa.Salim akapendekeza Warioba. I know this for certain from a close source to Salim, na hata Salim akiulizwa hivi leo hatasuta ukweli huu.

- Mkuu Jasusi, wewe najua kwamba una authority sana na hizi ishus za Mwalimu, lakini pia najua as a fact kwamba ni mmoja wa wapenzi wakubwa sana wa Mwalimu, sasa hili silijui kwa hiyo siwezi kulikana, lakini ninajua for a fact kwamba Warioba, Apiyo, na kuendelea kwa Butiku ofisi ya Rais under Mwinyi was never Mwinyi's choices, alilazimishwa na nani sujui.

- Ahsante kwa hizi info.

Respect.


FMEs!
 
FMES,
Hata kama Mwinyi ataandika kitabu hivi sasa kujibu shutuma za Mwalimu hakitakuwa na mshiko au effect kama angekiandika 1994 au 1995 baada ya kustaafu. Timing is everything.

- Asingeweza kuandika Mwalimu akiwepo si unajua ambayo yangempata, anaweza kuandika anytime it does not matter kinachotakiwa ni facts tu ili kuwasaidia wananchi kujua the otherside of the coin, wala sio ishus za mshiko cha muhimu ni taifa.

FMEs!
 
Back
Top Bottom