Jipatie pdf (softcopy) za mazao mbali mbali

Jipatie pdf (softcopy) za mazao mbali mbali

kilimomaarifa.tajiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
574
Reaction score
409
Salaamu

Karibu ujipatie PDF za mazao mbali mbali,

Zipo PDF za mazao 11 (1. Viazi Mviringo 2. Hoho 3. Tikiti Maji 4. Vitunguu Maji 5. Parachichi 6. Kabichi 7. Pilipili Kali 8. Karoti 9. Bamia 10. Nyanya, 11. Tango).

PDF zimeeleza kila kitu unachohitaji kujua kuhusu zao husika, kuanzia malighafi zote unazohitaji, aina za mbegu za kufaa kutegemea mazingira, Makadirio ya gharama zote kwa eka 1, jinsi ya kutengeneza kitalu na kusimamia kitalu, jinsi ya kupanda na kusimamia shamba, matumizi ya malighafi kama mbolea na madawa, kazi za kufanya shambani tangu siku ya kwanza hadi unapoanza kuvuna, makadirio ya mapato Vs Gharama n.k.

Ukinunua hizi PDF (Softcopy) na ukianza kilimo utakuwa unawasiliana na sisi ili kukupatia ushauri kila hatua. PDF zinatumwa kwako kwa WhatsApp au e-mail kama unayo.

BEI ya kila PDF ya zao moja ni Tsh 10,000

Karibu tuwasiliane zaidi kwa WhatsApp +255 744 302 645
 
Back
Top Bottom