Jipatie Perfumes & Deodorant DSM, Nafanya delivery, Mikoani Natuma

Jipatie Perfumes & Deodorant DSM, Nafanya delivery, Mikoani Natuma

Mkurugenzi Mwema 🙏🏿

Samahani...

Naweza kupata kipafyumu kizuri cha kiume?

Kizuri = kile unachokipenda wewe. Au kinachopendwa sana na wateja wako.

Ndaga 🙏🏿
 
Hii kwa experience yako inakaa mda gan kwwnye nguo??
Mousuf inajitahidi kukaa,siwezi nikasema ni muda gani exactly ila mimi naona inakaa.
Kadiri unavyozidi kuitumia ndivyo nguo zako zinazidi kuizoea.
 
Mkurugenzi Mwema [emoji1545]

Samahani...

Naweza kupata kipafyumu kizuri cha kiume?

Kizuri = kile unachokipenda wewe. Au kinachopendwa sana na wateja wako.

Ndaga [emoji1545]
Zipo nyingi nzuri Mkuu kama jinsi ninavyopost.
Mimi naona zote ni nzuri maana kila moja ina upekee wake.

Wateja wangu wanapenda perfumes tofauti tofauti ila kwa sasa upepo umeelekea kwenye Mousuf.
 
Zipo nyingi nzuri Mkuu kama jinsi ninavyopost.
Mimi naona zote ni nzuri maana kila moja ina upekee wake.

Wateja wangu wanapenda perfumes tofauti tofauti ila kwa sasa upepo umeelekea kwenye Mousuf.
Nipe utaratibu wa jinsi ya kuipata hii Mousuf. Na gharama zake mpaka kumfikia mlengwa.
 
Zipo nyingi nzuri Mkuu kama jinsi ninavyopost.
Mimi naona zote ni nzuri maana kila moja ina upekee wake.

Wateja wangu wanapenda perfumes tofauti tofauti ila kwa sasa upepo umeelekea kwenye Mousuf.
Bei yake hiyo mousuf
 
Wale wapenzi wa black Opium [emoji7][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii hapa.
Kama mnavyojua,Black opium Haina mpinzani[emoji91][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Unapata set nzima kwa 30k tu!
Yaani elfu 10 tatu tu!

Ndani Kuna;-
Perfume
Shower gel
Lotion

Yaani unanukia kiblack opium Kila mahala aloo

Niambie upo wapi nikuletee hadi kwenye stand ya daladala[emoji91]View attachment 2517181
Hii bado ipo?
 
Back
Top Bottom