Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
25,000/-24 hours unauzaje
Mousuf inajitahidi kukaa,siwezi nikasema ni muda gani exactly ila mimi naona inakaa.Hii kwa experience yako inakaa mda gan kwwnye nguo??
25,000/-Dar Alshabab unauza pesa ngapi..?
Zipo nyingi nzuri Mkuu kama jinsi ninavyopost.Mkurugenzi Mwema [emoji1545]
Samahani...
Naweza kupata kipafyumu kizuri cha kiume?
Kizuri = kile unachokipenda wewe. Au kinachopendwa sana na wateja wako.
Ndaga [emoji1545]
Nipe utaratibu wa jinsi ya kuipata hii Mousuf. Na gharama zake mpaka kumfikia mlengwa.Zipo nyingi nzuri Mkuu kama jinsi ninavyopost.
Mimi naona zote ni nzuri maana kila moja ina upekee wake.
Wateja wangu wanapenda perfumes tofauti tofauti ila kwa sasa upepo umeelekea kwenye Mousuf.
Bei yake hiyo mousufZipo nyingi nzuri Mkuu kama jinsi ninavyopost.
Mimi naona zote ni nzuri maana kila moja ina upekee wake.
Wateja wangu wanapenda perfumes tofauti tofauti ila kwa sasa upepo umeelekea kwenye Mousuf.
25,000/-Bei yake hiyo mousuf
Ina kaa kwa muda gani25,000/-
Unailipia kwa namba nimeweka pale juu kwenye uzi.Nipe utaratibu wa jinsi ya kuipata hii Mousuf. Na gharama zake mpaka kumfikia mlengwa.
Haichafui..Ina kaa kwa muda gani
Haichafui shati / t-shirt
Kila moja ina upekee wake.Rams, Avento, mousuf
Sasa mbona unatuchanganya. Ipi ni ze best hapo
Hii bado ipo?Wale wapenzi wa black Opium [emoji7][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii hapa.
Kama mnavyojua,Black opium Haina mpinzani[emoji91][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Unapata set nzima kwa 30k tu!
Yaani elfu 10 tatu tu!
Ndani Kuna;-
Perfume
Shower gel
Lotion
Yaani unanukia kiblack opium Kila mahala aloo
Niambie upo wapi nikuletee hadi kwenye stand ya daladala[emoji91]View attachment 2517181
HapanaHii bado ipo?
Hii unauzaje?
Hizi set zote za muundo huu ziliishaHii unauzaje?
NimeelewaUnailipia kwa namba nimeweka pale juu kwenye uzi.
Mkoani natuma kwa gharama za mteja,DSM nafanya free delivery maeneo ya karibu,mbali mteja atachangia nauli kidogo.
Duuuh leo nimepigwa 30k hapa Morogoro25,000/-
Itakuwa bei imejumlisha na gharama za usafiri.Duuuh leo nimepigwa 30k hapa Morogoro