Samsung ya inch 65 ni 540k?KUPITIA SISI KUMILIKI TV NI KITU RAHISI JIPATIE TV KWA BEI YA KIWANDANI KUTOKACHINA KAMA IFUATAVYO
SPECIAL BIG ODA TV SMART
BRAND:SAMSUNG / LG
π«32@160000
π«43@300000
π«50@480000
π«55@500000
π«65@540000
π«75@740000
π«85@1040000
π«100@4000000
Smart TV zote
0713861567
Bei zote bila usafiri
TV zikifika unalipia usafiri maana ni TV za kuagiza.
View attachment 3033981
Usafiri ni lak nne tu tupo mbezi msigan karibuni na kiwanda cha mabati pia uhuru plaza kariakooNahitaji hiyo ya 85 inches but LG, nipe kabisa Specifications zake hapa hapa na usafiri ni shilingi ngapi sema hapa hapa
Ndyo usafiri kutoka china kuja darkumbe u
namaanisha usafiri kutoka china!
Kama mitego mingineHuu ni mtego
Hii ni bei ya kuagiza kutoka china bei ya kiwandani mzigo ukifika unalipia usafiriSamsung ya inch 65 ni 540k?
Mbezi msigani karibu na kiwanda cha mabati na kariakoo uhuru plazaLocation?
Wengi hamjaelewa tangazo hii bei ni kuagiza kutoka china na tv ikifika utailipia usafiri hizi ni bei za viwandaniKama mitego mingine
Si Wete ,tu ndanindani huko donge....yani mtu ajafanye Biashara ya Tv ,Friji Kijijini ..! Sijui Wana tuonaje?!matapeli wote sasa hivi wanajifanya wanaagiza kutoka China au wapo wete Pemba, epuka matapeli
Kuuagiza kunaondoa harufu ya utapeli,! Tuthibitishie kwa hoja kuwa wewe sio tapeli.Wengi hamjaelewa tangazo hii bei ni kuagiza kutoka china na tv ikifika utailipia usafiri hizi ni bei za viwandani
Njoo dukani bossKuuagiza kunaondoa harufu ya utapeli,! Tuthibitishie kwa hoja kuwa wewe sio tapeli.
Hiyo ya inchi 65 usafiri wake shilingi ngapi? Na hela ya mzigo wanalipwa kabla mzigo haujafika au mpaka mzigo ufike?Karibu mbezi msigani karibu na kuwanda cha mabati pia kariakoo uhuru plaza
Nikija dukani naweza kupata ya inchi 65?Njoo dukani boss
Peleka utapeli wako wewe. Unadhani watu wote ni wajinga? Tangu lini kila mtu akaenda kiwandani kununua TV. Yaani uende kiwanda cha LG uuziwe TV? Viwanda vyote vina chain zao za ku-supply na ma-agent wa kununua mzigo kutoka viwandani ni wachache.Hii ni bei ya kuagiza kutoka china bei ya kiwandani mzigo ukifika unalipia usafiri
Halafu jamaa anadanganya. Eti bei ya kiwandani. Atawaokota washamba wenzake. Viwanda vikubwa vyote vina chain ya ku-supply mali zake kwa kutumia ma-agent maalumu. Hata viwanda local kama Tanzania Breweries siku hizi huwezi kwenda kiwandani moja kwa moja kununua mzigo. Kuna ma-agent.Wanaagiza ikifika bongo wanachajai
Import fee
Processing fee
Tax
Vat
Tozo
Transport
Mwisho wa siku unaona bora ningenunua hapa hapa bongo
Nimekaa pale nausubiri huo ushahidisawa kabisa,weka location ya office tumiminike hapo,tutaleta ushahidi hapa hapa.