TV4Sale Jipatie Smart TV kwa bei ya kiwandani

TV4Sale Jipatie Smart TV kwa bei ya kiwandani

KUPITIA SISI KUMILIKI TV NI KITU RAHISI JIPATIE TV KWA BEI YA KIWANDANI KUTOKACHINA KAMA IFUATAVYO

SPECIAL BIG ODA TV SMART

BRAND:SAMSUNG / LG

💫32@160000
💫43@300000
💫50@480000
💫55@500000
💫65@540000
💫75@740000
💫85@1040000
💫100@4000000

Smart TV zote
0713861567
Bei zote bila usafiri

TV zikifika unalipia usafiri maana ni TV za kuagiza.

View attachment 3033981

Weka model number ya hizo LG na Samsung maana kuna models nyingi katika kila ukubwa wa inch ...

China wana
 
Halafu jamaa anadanganya. Eti bei ya kiwandani. Atawaokota washamba wenzake. Viwanda vikubwa vyote vina chain ya ku-supply mali zake kwa kutumia ma-agent maalumu. Hata viwanda local kama Tanzania Breweries siku hizi huwezi kwenda kiwandani moja kwa moja kununua mzigo. Kuna ma-agent.
Usipojua jambo haimaanishi alipo kilichopo huna ufahamu wa unachosema
 
Peleka utapeli wako wewe. Unadhani watu wote ni wajinga? Tangu lini kila mtu akaenda kiwandani kununua TV. Yaani uende kiwanda cha LG uuziwe TV? Viwanda vyote vina chain zao za ku-supply na ma-agent wa kununua mzigo kutoka viwandani ni wachache.
Sawa boss huenda ndipo ulipoishia ufahamu wako kuhusu haya mambo but hiyo ndiyo bei yake wew ni wale watu ambao hutumia ubishi kutaka kujua
 
Wanaagiza ikifika bongo wanachajai
Import fee
Processing fee
Tax
Vat
Tozo
Transport
Mwisho wa siku unaona bora ningenunua hapa hapa bongo
Kila tv ina gharama yake kutokn na size na uzito mtu kabla ya kuagiza anapewa total bei ambayo ni chini tofaut na ya dukani
 
Usipojua jambo haimaanishi alipo kilichopo huna ufahamu wa unachosema
Nani kasema sijui. Nimesema kwa uhakika kabisa wewe huna uwezo wa kununua TV kama LG viwandani. Kwanza viwandani hawauzi kazi yao ni kutengeneza tu. Nakuambia kitu nachokijua. Wewe ungesema tu unauza kwa bei rafiki lakini siyo eti bei ya viwandani. Uelewa wako ni mdogo sana na huenda hata nje ya Bongo hujatoka.
 
Nani kasema sijui. Nimesema kwa uhakika kabisa wewe huna uwezo wa kununua TV kama LG viwandani. Kwanza viwandani hawauzi kazi yao ni kutengeneza tu. Nakuambia kitu nachokijua. Wewe ungesema tu unauza kwa bei rafiki lakini siyo eti bei ya viwandani. Uelewa wako ni mdogo sana na huenda hata nje ya Bongo hujatoka.
Hakuna mahusiano kati ya kutoka nje ya nchi na uelewa pili unapenda kuwa mshindi kuhusu kutoka mimi pemgine nimetoka kuliko wew hiyo mada ni nyingine sasa
 
Back
Top Bottom