Jipatie Tovuti na Mfumo wa Accounting kwa Gharama Nafuu kabisa

Jipatie Tovuti na Mfumo wa Accounting kwa Gharama Nafuu kabisa

tzhosts

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
403
Reaction score
510
Habari za wakti huu;
Je Biashara yako inahitaji TOVUTI?
Je Biashara yako inahitaji mfumo wa Utunzaji wa kumbukumbu na uhasibu?
Je Biashara ya inahitaji mfumo wa kutoa risiti za EFD?
Je Biashara inahitaji kitu au huduma yoyote ya kiteknolojia?

Kama Jibu ni Ndio

Wasiliana nasi kwa simu au whatsapp 0757323060

Gharama na huduma zetu ni nafuu na za wakati.
 
Utunzaji wa kumbukumbu na uhasibu?

1. Mfumo huu unaitwaje?
2. bei yako ikoje?
3. Unaweza nipatie Demo niucheki??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Utunzaji wa kumbukumbu na uhasibu?

1. Mfumo huu unaitwaje?
2. bei yako ikoje?
3. Unaweza nipatie Demo niucheki??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Tembelea manager.io udownload offline version uione.
 
1737899976873.jpg

Braza huu mfumo wako unajua kweli kuna ""layman people of accounts"" kwenye biashara?

Mbona ni complex sanaa brazaa..

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Hujanipa bei
Na lengo langu ni kujua kama ukinunua inakuwa only one instalment au ndio kulipia kila mwaka?

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mkuu Ikiwa Cloud unakuwa unalipia kila mwaka.Ila kama ni offline unalipia Mara Moja tu kwa mwaka
 
Mbona hujaonyesha mfumo huo utakuwa na faida gani kwa wahasibu ?

Jee utatumiwa na watu wa category gani kwenye biashara as per umesema utunzaji wa kumbukumbu za kihasibu!

Jee akisha install analipia mara ngp ? Jee Kuna kurenew license akiwa ni mteja wako !
 
Mbona hujaonyesha mfumo huo utakuwa na faida gani kwa wahasibu ?

Jee utatumiwa na watu wa category gani kwenye biashara as per umesema utunzaji wa kumbukumbu za kihasibu!

Jee akisha install analipia mara ngp ? Jee Kuna kurenew license akiwa ni mteja wako !
Mfumo huu una Options 3:

Option ya Kwanza ni mfumo offline ambao unakuwa ni Free
Option ya Pili ni Cloud Based ambayo unalipia shared host au self hosted
Cloud Based ambayo inakuja pamoja na huduma za kihasibu kama vile kuandaa returns na kufile Taxes mbalimbali.

Kila Option hapo inakuwa na gharama zake.Tupigie kwa 0757323060
 
Mkuu Ikiwa Cloud unakuwa unalipia kila mwaka.Ila kama ni offline unalipia Mara Moja tu kwa mwaka
Tofauti ya kauli yako ni ipi? Au ulimaanisha
1. icloud unalipia yearly na offline unalipia mara moja wakati wa kununua tu? (Hakuna yearly fees wala hidden cost kwa hiyo Offline?)

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Tofauti ya kauli yako ni ipi? Au ulimaanisha
1. icloud unalipia yearly na offline unalipia mara moja wakati wa kununua tu? (Hakuna yearly fees wala hidden cost kwa hiyo Offline?)

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Mkuu hakuna hidden fees Mkuu,Si umeidownload na ukainstall kwani umeona any hidden fees?Ila ukihitaji Technical support kama installation,configuration na user training ndio kuna gharama.
 
Mkuu hakuna hidden fees Mkuu,Si umeidownload na ukainstall kwani umeona any hidden fees?Ila ukihitaji Technical support kama installation,configuration na user training ndio kuna gharama.
Hapa ndo umejibu sasa ndo nilichokuuliza hapo juu ......

Mfumo hauonyeshi hizo cost Ila ninyi ndo mtaruhusu kulingana na mlivyo utengeneza

Mfano Tally uki install lzm ulipie, ndo nilichotaka kujua .... Thank you
 
Mkuu hakuna hidden fees Mkuu,Si umeidownload na ukainstall kwani umeona any hidden fees?Ila ukihitaji Technical support kama installation,configuration na user training ndio kuna gharama.
Ambazo ni kiasi gani??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Ingependeza ungeweka details zote kamili.
1. Huo mfumo unatakiwa umwambie kabisa mteja(wewe ni reseller na makesure anajua kua wewe ni recognized agent wao).

2. Mpe mtu assurance ya data zao za kibiashara maana itakubidi baadhi ya kampuni wakusainishe NDA.

3. Weka gharama kamili na za uhakika ikiwa katika mfumo wa package.(Kusije kuleta any unnecessary hidden costs huko n.k)

4. Waweke wazi jina la Mfumo, Advantage za kwanini anunue kwako na sio mifumo mingine, Advantage ya kwanini watumie mfumo at first place maana wabongo ndio kwanza tunaamka kiteknolojia wengi hawajui umuhimu wa hivi vitu.

5. Ukiweka kila kitu wazi na maelezo kamili, itaonesha namna gani uko makini na biashara yako (Binafsi nmesense kama kunaweza kua na upigaji, maana nmeupitia mfumo na nimekuta ni OPEN SOURCE GITHUB, pia nikagundua unatoa oppurtunity ya reselling, so ukiweka wazi Hta wateja tunaweza kuwarefer kwako.

Siku hizi watu hatuna muda wa kuja inbox kuuliza bei, unakopatikana n.k maana biashara makini kila kitu wameweka wazi, Kukiwa na bei za kuweka wazi ni kama kuna vitu unabadilisha kulingana na matakwa ya mteja, ndio maana hta pale juu nikashauri bei katika mfumo wa package.

Nakutakia biashara njema, na matangazo mengine utakayokuja kutoa huko mbele yawe very competent mkuu.(Siku hzi watu tuna screenshot na kushare huduma ya mtu hata tusiemjua, tangazo kama hili mtu hawezi kushare kitu).

Imagine I have only 30seconds to scroll on your thread niende kwngne, sasa unataka niulize nisubiri jibu tuanze kuchat tena?
 
Back
Top Bottom