Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Napata wasiwasi na mleta mada.
Ngoja nisubiri watu watakaolizwa walete mrejesho
Ngoja nisubiri watu watakaolizwa walete mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu nitag na mimiMkuu mimi nataka sana hiyo unlimited bando ila nataka kwa kuonana na maliponyafanyike baada ya kazi kufanyika face to face
Unaulizwa maswali ya msingi kabisa unajidai huoni kama sio wizi ni nini??Ka kwambia nani mm mwizi
Hebu tupia iyo namba na tupe info iyo namba ilikuibiajeNilishaibiwa 20000 nahii namba
IringaSema uko wapi tufanye biashara tukiwa tunaonana uso kwa uso wakati wewe unaunganisha mambo yako mimi nazama kwenye wallet natoa pesa.
Dunia ya leo wa kumuamini ni mama ako tu hata baba anaweza kukuingiza chaka.